G.Jacob
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 3,617
- 3,490
DIT alikua principal????msiongee utoko humu jamaa kapandishwa cheo kaenda arusha na kapewa Ukuu .
UTOKO...?
DIT alikua principal????msiongee utoko humu jamaa kapandishwa cheo kaenda arusha na kapewa Ukuu .
Kwa kawaida wajumbe wa Bodi wanatakiwa kuteuliwa na waziri mwenye dhamana ya Elimu. Lakini kutokana na sababu fulanifulani baadhi ya mawaziri wanapokea mapendekezo kutoka kwa wakuu wa Taasisi husika na kuwapitisha kuwa wajumbe wa Bodi. Hebu angalia mpangilio wa wajumbe wa Bodi ya Chuo inayolalamikiwa:Kwani wajumbe wa bodi ya chuo huteuliwa na mkuu wa chuo? Tunaweza kuanzia hapo!
Soma kwa makini, majina na kila kitu kipo ndani, usidandie treni kwa mbele.umeiandika kimbea mbea sana hii thread '' majina hutaji huo ni ushakunaku ''
HAPO SASA unaongea. Hiz ndio nondo za kaz. Vijana waKama ulikuwa hujui, uliza. Suzan Mnafe aliwekwa na nani kwenye Bodi ya Chuo cha Ufundi Arusha, anafanya nini na amedumu kwenye Bodi hiyo kwa muda gani?
Kadhalika, Namnyaki Mattasia aliwekwa na nani na anafanya nini kwenye Bodi ya Chuo hicho?
Uliza, mama mfanyakazi wa pale anayeitwa Naisujaki aliajiriwa lini, akapelekwa masomoni lini na alichukua nafasi ya nani alipokwenda masomoni. Uliza alipelekwa masomoni wapi na Masudi A. Senzia ni nani katika chuo hicho na bosi huyo Masudi Senzia alikwenda Kenya tarehe 21 na 22 Oktoba 2014 kufanya nini. Pengine ukiuliza hayo utapata majibu sahihi.
Wewe acha kupotosha, tovuti ya mwaka 2011 ina nini zaidi ya vitu vilevile vya 2011? Unataka kufanya watu ni wajinga? Hakuna chochote pale kwenye hicho unachoita tovuti. Tovuti ya chuo imechoka kama bibi kizee?. Pengine Ufisadi umesababisha ikashindikana hata kuiboresha. Yale matofali yote uliyoiba utarudisha lini?Nmetembelea tovuti ya chuo hcho naona kuna tangazo kuhusu taarifa za mtandaoni...Bila shaka waleta Nyuzi hizi znaletwa na jopo lililopgwa chini..mmeamua kuwachafua pitia mtandaoni.Diamonds will shine forever
Nashukuru kwa maelezo Tunde. Binafsi huwa sina tatizo sana na suala la taasisi fulani kuwa na idadi kubwa ya watu wa kabilla moja kama inavyojionyesha kwa wajumbe wa bodi ulioonyesha, mradi tu kuwa kwao kabila moja hakuathiri utendaji. Ila kwa kuwa kuna hizo tuhuma nafikiri ni jambo jema mamlaka zikachunguza ili taasisi hiyo muhimu sana kwa nchi yetu iendelee kuwa na heshima yake.Kwa kawaida wajumbe wa Bodi wanatakiwa kuteuliwa na waziri mwenye dhamana ya Elimu. Lakini kutokana na sababu fulanifulani baadhi ya mawaziri wanapokea mapendekezo kutoka kwa wakuu wa Taasisi husika na kuwapitisha kuwa wajumbe wa Bodi. Hebu angalia mpangilio wa wajumbe wa Bodi ya Chuo inayolalamikiwa:
Mkuu wa Chuo (Mchaga); Wajumbe wa Bodi ni Abrahamu Nyanda (Family friend); Christian Nyahumwa (School mate); Suzan Mnafe (Mchaga & girlfriend); Lyne Ukio (Mchaga); Hyacintha Makileo (Mchaga); Karoli Njau (Mchaga); Benedict Lema (Mchaga); Namnyaki Mattasia (Girlfried).
Hiyo ndio Bodi ambayo huenda ilipitishwa na Mh. Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa wakati akiwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kwa kuwa hao wanatambulika kama wajumbe wa Bodi ya Uongozi ya Chuo.
Unapata picha gani hapo?
huyo mkuu wa chuo ana magirlfriend wangapi?Kwa kawaida wajumbe wa Bodi wanatakiwa kuteuliwa na waziri mwenye dhamana ya Elimu. Lakini kutokana na sababu fulanifulani baadhi ya mawaziri wanapokea mapendekezo kutoka kwa wakuu wa Taasisi husika na kuwapitisha kuwa wajumbe wa Bodi. Hebu angalia mpangilio wa wajumbe wa Bodi ya Chuo inayolalamikiwa:
Mkuu wa Chuo (Mchaga); Wajumbe wa Bodi ni Abrahamu Nyanda (Family friend); Christian Nyahumwa (School mate); Suzan Mnafe (Mchaga & girlfriend); Lyne Ukio (Mchaga); Hyacintha Makileo (Mchaga); Karoli Njau (Mchaga); Benedict Lema (Mchaga); Namnyaki Mattasia (Girlfried).
Hiyo ndio Bodi ambayo huenda ilipitishwa na Mh. Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa wakati akiwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kwa kuwa hao wanatambulika kama wajumbe wa Bodi ya Uongozi ya Chuo.
Unapata picha gani hapo?
Mtu mzima akiamua kufanya mambo ya kihuni huwa inatisha. Kwakuwa mkuu wa chuo hakai na mke wala watoto, anaweza kuwa na magirlfriend wengi kadri atakavyoweza.Huyo mkuu wa chuo ana magirlfriend wangapi?
Kwa kawaida wajumbe wa Bodi wanatakiwa kuteuliwa na waziri mwenye dhamana ya Elimu. Lakini kutokana na sababu fulanifulani baadhi ya mawaziri wanapokea mapendekezo kutoka kwa wakuu wa Taasisi husika na kuwapitisha kuwa wajumbe wa Bodi. Hebu angalia mpangilio wa wajumbe wa Bodi ya Chuo inayolalamikiwa:
Mkuu wa Chuo (Mchaga); Wajumbe wa Bodi ni Abrahamu Nyanda (Family friend); Christian Nyahumwa (School mate); Suzan Mnafe (Mchaga & girlfriend); Lyne Ukio (Mchaga); Hyacintha Makileo (Mchaga); Karoli Njau (Mchaga); Benedict Lema (Mchaga); Namnyaki Mattasia (Girlfried).
Hiyo ndio Bodi ambayo huenda ilipitishwa na Mh. Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa wakati akiwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kwa kuwa hao wanatambulika kama wajumbe wa Bodi ya Uongozi ya Chuo.
Unapata picha gani hapo?
We bwege hujielew kaa kushoto boya wwWewe acha kupotosha, tovuti ya mwaka 2011 ina nini zaidi ya vitu vilevile vya 2011? Unataka kufanya watu ni wajinga? Hakuna chochote pale kwenye hicho unachoita tovuti. Tovuti ya chuo imechoka kama bibi kizee?. Pengine Ufisadi umesababisha ikashindikana hata kuiboresha. Yale matofali yote uliyoiba utarudisha lini?