Ufisadi wa Ngono Chuo cha Ufundi Arusha

Ufisadi wa Ngono Chuo cha Ufundi Arusha

Kuna watu kama wanne hivi ambao wako against na Huyu mkuu ambao kwa tafiti zangu ni kama wanajuana na pia ni wafanyakazi wa hapo chuoni,na pia hawana muda mrefu humu JF.naona namna wanavyomtetea mtoa mada.
my take: isijekuwa mna nia tu ya kumchafua huyo mkuu,ila kama mna nia nzuri ya kufikisha ujumbe unaotakikana hakika mtasikilizwa
 
Uliza, mama mfanyakazi wa pale anayeitwa Naisujaki aliajiriwa lini, akapelekwa masomoni lini na alichukua nafasi ya nani alipokwenda masomoni. Uliza alipelekwa masomoni wapi na Masudi A. Senzia ni nani katika chuo hicho na bosi huyo Masudi Senzia alikwenda Kenya tarehe 21 na 22 Oktoba 2014 kufanya nini. Pengine ukiuliza hayo utapata majibu sahihi.

kama sura yako ngumu ujilaumu mwenyewe aliyepata kapata...wee piga tu majungu bando likiisha utalala!
 
Waliohusika watakasirika na hata kutukana. Lakini ukweli utabaki palepale.
 
Kuna interview imeiva tayari chuoni. Tusubiri kuona walengwa wanne wakipata kazi kwa njia zilezile za upendeleo. Interview hiyo ni tarehe 26 na 27 mwezi huu yaani Mei, 2016. Majibu ya interview hiyo yatawekwa hapahapa, usicheze mbali. Walengwa wanaokusudiwa kupata ajira wana maswali ya interview hiyo tayari! "Some people are more equal"
 
Kuna interview imeiva. Tusubiri kuona walengwa (wanne kwa sasa nawahifadhi) wakipata kazi kwa njia zilezile. Interview hiyo ni tarehe 26 na 27 Juni. Majibu yake yatawekwa hapahapa, usicheze mbali. Wenzao wana majibu ya interview tayari!
Bado umo tu! Sasa kama ni kweli, weka majina!
 
Bado umo tu! Sasa kama ni kweli, weka majina!

Bosi ni bingwa wa kuhonga, umelipwa ngapi kwa kazi hii?

Wenzio wanalalamika kuhusu kwenda kufanya interview na watu wengine ambao tayari wameshapewa majibu ya interview hiyo ili wabaki ofisini kwa sababu sasahivi tayari wako ofisini na wewe unatetea uhalifu huo!.

Huo unyama mnaofanyia wenzio Mungu atawalipa. Mnasumbua watoto wa watu kusafiri na kuhangaika kote huko wakidhani watafanikiwa kumbe kazi zina wenyewe?

Watu wanatakiwa kupata kazi kwa uwezo, siyo kubebwa kwa sababu nyingine yoyote ile. Majina yao yanajulikana, tumechoka kuvumilia kadhia hii. Tuliza mpira, safari hii patachimbika. Tuonane baada ya interview na majibu yake kutoka!
 
Watu wengine wakishatoswa huko inakua shida sanaa.

Watu na ngekewa zetu. Ujanja kubana sukari na kuiachia kidogo kidogo. Shaur lako mjini hapa. Tehe
 
...jina linahifadhiwa...jina lingine tena linahifadhiwa...na jina lingine tena linahifadhiwa!, sasa iko hivi; km huna kazi ya kufanya, kaokote makopo barabarani.
 
Naisujaki hakupelekwa kusoma Kenya tu, muda mfupi baada ya kupewa ajira alipelekwa na BOSI Kanada kula maisha.
 
Bosi ni bingwa wa kuhonga, umelipwa ngapi kwa kazi hii?

Wenzio wanalalamika kuhusu kwenda kufanya interview na watu wengine ambao tayari wameshapewa majibu ya interview hiyo ili wabaki ofisini kwa sababu sasahivi tayari wako ofisini na wewe unatetea uhalifu huo!.

Huo unyama mnaofanyia wenzio Mungu atawalipa. Mnasumbua watoto wa watu kusafiri na kuhangaika kote huko wakidhani watafanikiwa kumbe kazi zina wenyewe?

Watu wanatakiwa kupata kazi kwa uwezo, siyo kubebwa kwa sababu nyingine yoyote ile. Majina yao yanajulikana, tumechoka kuvumilia kadhia hii. Tuliza mpira, safari hii patachimbika. Tuonane baada ya interview na majibu yake kutoka!

Nikuulize wewe umelipwa kiasi gani kushinda kutwa JF kuchafua watu!
 
Mitandao ya jamii ni shule na ni sehemu ya kujadili mambo yanayokera kwenye jamii. Nia ni ili wanaofanya hayo waache maana ni kero. Kwa bahati mbaya hawa wa chuo hiki ni sugu. Wameelezwa hata kwenye vikao hawasikii.

Nadhani ni wakati muafaka sasa kwa Dunia kupitia mitandao ya jamii kuwaambia kama wanachofanya ni sahihi au la.
 
Back
Top Bottom