Ufisadi wa Nape huu hapa

Ufisadi wa Nape huu hapa



Yaan fwa fwa fwa yaaan zero yaan yule kiumbe alizungusha yaan ( In gwajima voice)
 
Nimefurahia sana uandishi huu jamani. Dah! Kweli hata Zero ukimpa unaionea hiyo Zero. Akili mufilisi kabisa
 
Mmmh pigeni mayowe tu ila dawa yenu ipo,na kuna sk mtajua maana yake
 
Msema hovyo,muda ulioutumia kuandika utumbo bila research ugetumia kuoshavyomba kwenu ugekuwa mtu wa maana sana.wana jf hawako hivyo.Hayamaneno unayatowa mtaani nakutuadikia sisi.kabla hujasema jambo fanya research na utupe details siyo kulopoka tu.naukipewa pesa kula,siyolazima uandike kama huna habari ya uhakika.Haiingii hakirini hata kidogo kumlinganisha Nape na Rostam kisa mshahara tena wa u Dc abao hata nape hapokei,poleka majungu kwingine siyo jf.
Huyu ni Makonda yupi ? Huyu Bashite wa Koromije au ? Uandishi wake unaakisi kile wanacho mwandama nacho
 
Bashite hata kuandika hajui nahisi hata darasa la pili alifoji matokeo akaingia darasa la tatu kwa magumashi.
 
Hivi inamaana hunu jf hakuna hata mtu mmoja aliyesoma naye darasa moja huyu zero!
 
Msema hovyo,muda ulioutumia kuandika utumbo bila research ugetumia kuoshavyomba kwenu ugekuwa mtu wa maana sana.wana jf hawako hivyo.Hayamaneno unayatowa mtaani nakutuadikia sisi.kabla hujasema jambo fanya research na utupe details siyo kulopoka tu.naukipewa pesa kula,siyolazima uandike kama huna habari ya uhakika.Haiingii hakirini hata kidogo kumlinganisha Nape na Rostam kisa mshahara tena wa u Dc abao hata nape hapokei,poleka majungu kwingine siyo jf.
Mheshimiwa Ndio wewe ulieandika huu mwandiko au hii account ilidukuliwa?
 
Msema hovyo,muda ulioutumia kuandika utumbo bila research ugetumia kuoshavyomba kwenu ugekuwa mtu wa maana sana.wana jf hawako hivyo.Hayamaneno unayatowa mtaani nakutuadikia sisi.kabla hujasema jambo fanya research na utupe details siyo kulopoka tu.naukipewa pesa kula,siyolazima uandike kama huna habari ya uhakika.Haiingii hakirini hata kidogo kumlinganisha Nape na Rostam kisa mshahara tena wa u Dc abao hata nape hapokei,poleka majungu kwingine siyo jf.
kikulacho kinguoni mwako
 
Back
Top Bottom