Ufisadi Wa Mwakyembe na Eng. Madeni Kipande !

Ufisadi Wa Mwakyembe na Eng. Madeni Kipande !

Hao wanawake wote walikuja kukulalamikia wewe kuwa wametongozwa na Kipande au uliamua kufanya utafiti wako mwenyewe, kwa haraka naona hapa kuna wivu wa kike na kuzibwa kwa mirija ya ulaji TPA, ambapo kwa muda mrefu wachache walikuwa wakijinufaisha huku wengi tukiangamia. Nahisi umetumwa na mafisadi waliotimuliwa TPA, ambao walikuwa wakikusanya fedha cash na kuzisweka kwenye viroba badala ya wafanyabiashara kulipia benki kama ilivyo sasa. Watanzania hawana njema bt hii nchi ili iweze kwenda mbele UDIKTETA LAZIMA, vinginevyo tukiwasikiliza wazushi wachache tutaangamia eti.. kwa kutafuta kuungwa mkono umeihusisha CDM ili wadau wakasirike, acha hizo watanzania nowdays tuna akili timamu...shame one u.
Well said Mkuu, hata maelezo yake yako incoherent kabisa - tuhuma zimekuwa nyingi mno, kwa mawazo yangu anafikiri akiweka utitiri wa tuhuma at least mojawapo ya tuhuma ita-stick na kumunasa/maliza mbaya WAKE!! Aingii akili kwamba mtu mmoja anawezaje kuwa that MONSTER wa kutaka kula kila mfanyakazi na some Board Members wa TPA save his friends!!

Hivi hao wanawake waliwahi kuja kulalamika kwa mleta tuhuma? Je, some Board Members anao dai wanalalamika kudharauliwa na Kipande, kwani hawajui nini la kufanya mpaka wafikie hatua ya kumfuhata yeye

- Board ndio yenye uwezo wa kumtimua Mkurugenzi huyo inakuwaje tena yeye ndiye aonekane anaendesha BOARD naona anajitahidi kumsingizia Dogo kwamba ndiye anamkingia kifua

- Watanzania bwana!! Ridhiwani anasemwa sana na kusingiziwa kila kitu under the SUN

- mleta post anaweza kutupatia ushahidi unao onyesha kwamba Rais Kikwete aliwahi kumpa wadhifa wa Uwaziri hasiye na Wizara Dogo? Anaposema Kipande anachukia wana CDM ana maana gani?

- Hapa anadai kwamba Meneja huyo ni mkabila na anapendelea Wachagga kama hiyo ni kweli kwa nini achukie CDM. Kisaikolojia inaonekana mleta habari ni "FAIR SEX" I might be wrong lakini dalili zinaonyesha hivyo, looking back now nakumbuka kuna post iliwahi kulutwa hapa jamvini ikiwa na tuhuma ambazo hazina tofauti kubwa na hizi hapa; kama kuna wafanyakazi waliwahi kutimuliwa na Dk.Mwakwembe basi wasifikiri kwamba tuhuma za kutunga ndio zinaweza kumuondoa Engineer huyo kusimamia Uongozi wa Bandari, anaweza kuwa ni mwiba kwao ndio maana wanamzuria mambo

- wakumbuke enzi za kuchukulia TPA kama ni shamba la Bibi hatarudi tena, imekufa na kuzikwa na Dk.Mwakyembe mtasema mengi lakini hilo alitabadirisha chochote; tafuteni ajira sehemu nyingine TPA hatamtarudi tena.
 
Mwakyembe,Kipande na bodi mpya kazeni buti endeleeni kusawazisha mambo kwa faida ya taifa puuzeni haya majungu yasiyo na mashiko, mlalamikaji keshaleta ubaguzi na kujiona bora kwa kujiita ni mke wa mzungu si inadhihirisha ni mtumwa na ana fikra za kutawaliwa na watu weupe. sasa punguani wa namna hii kuna haja gani ya kuendeleeni kusoma maandiko yake ya kipuuuzi. anawahusisha CHADEMA hivi kweli CHADEMA wana haja kutafuta utetezi toka kwa mtumwa wa wakoloni. Bibi muke ya muzungu usifikiri waafrika tumesahau mateso na udhalimu uliofanywa na waume zako wazungu.
 
Huko TPA nafikiri kulikuwa na asali ya mbinguni ambayo hawa mafisadi walikuwa wanafaidi. Hebu watulie dawa iwaingie barabara. Wao walikuwa wanadhani watakuwa wao milele?!!!.Noja mkome kulinga.
 
tafadhali futa kauli yako mwakyembe ni prof. kuanzia lini,acha kucheza na taaluma za watu futa kwanza hiyo ndo turudi hapa jukwaani kujadili juu ya hii inshu nyingine

mwelekeze afute, lakini prof. taaluma? labda kwenye kadi za harusi, mbona hata Mb Majimarefu prof.
 
Sorry, huyu bwana keshakuwa Prof mara hii?
Laiti angekuwa prof labda angevua miwani ya mbao aliyovaa na kutafakari hoja angesoma ripoti ya j ulanga. aliyemtimua kwenye bodi. Hivi hizo ndizo findings na mapendekezo ya ripoti ya mbakileki iliyotumia mamillioni ya pesa? Kweli hili linawezekana tz tu? Nakupongeza kwa kuitimua hii bodi uelewa wake mdogo na wengiwao wanachimbuko la div zero. Ni dhahiri kuwa watz tumebobea kwenye fani ya majungu!
 
Laiti angekuwa prof labda angevua miwani ya mbao aliyovaa na kutafakari hoja angesoma ripoti ya j ulanga. aliyemtimua kwenye bodi. Hivi hizo ndizo findings na mapendekezo ya ripoti ya mbakileki iliyotumia mamillioni ya pesa? Kweli hili linawezekana tz tu? Nakupongeza kwa kuitimua hii bodi uelewa wake mdogo na wengiwao wanachimbuko la div zero. Ni dhahiri kuwa watz tumebobea kwenye fani ya majungu!

Ndugu umesema mengi bila kituo, hebu punguza ghadhabu yumkini una point ndani ya maelezo haya!
 
Ndugu umesema mengi bila kituo, hebu punguza ghadhabu yumkini una point ndani ya maelezo haya!
Mkuu horseshoe, hii nchi ni ina mahoka. Ukisoma ripoti kuhusu kipande na ukifuatilia hatua iliyochukuliwa ya kufukuza bodi vs findins za ripoti ya mbakileki ambayo ilifukuza kila mwenye sura mbaya ambaye waziri alikuwa hamtaki utashangaa sana. Ni vema serikali ikaweka bayana wamiliki wa hii nchi kama ambavyo Pro k ame declare!
 
Mkuu horseshoe, hii nchi ni ina mahoka. Ukisoma ripoti kuhusu kipande na ukifuatilia hatua iliyochukuliwa ya kufukuza bodi vs findins za ripoti ya mbakileki ambayo ilifukuza kila mwenye sura mbaya ambaye waziri alikuwa hamtaki utashangaa sana. Ni vema serikali ikaweka bayana wamiliki wa hii nchi kama ambavyo Pro k ame declare!

Haya mambo ukiingia sana kwa undani utapata ugonjwa wa moyo,kuna watu kila uchweo wanaabudiwa tu kwa so called ueledi kadika shughuli za kila siku za kulitumia taifa,ambao wanapita wamevimbisha vifua wakitamani watunukiwe hata nishani za utumishi uliotukuka huku ndani ya ofisi zao wakiongoza kwa ubabe,maamuzi binafsi na timua timua zisizofuata hata taratibu za utumishi!

Ni kama huyo mwingine na sera yake(Of which hata mkuu wake wa kazi anamshangaa) ya kuvunja nyumba kwa interval ya 120 M kutoka katikati ya barabra pasi kujua watu walijenga kufuata sheria ya 30 M iliyokuwepo enzi hizo!
 
Mzee Ogah upo? nilisema hapa nikapewa maneno ya ajabu sana. Hii ripoti ni tone la maji ya chupa katika bahari ya Hindi.... Najua yapo mengi na aliyeandika haya ameaona aweke tu. Imefikia mahali hata zile tuhuma nilizosema TPA wamezihalalisha kwa kusema, "watasema watachoka na sasa wamenyamaza"... mfano wa kuhamisha chelezo kutoka Bandari ya Mwanza kwenda Kyela, hadi wametangaza katika magazeti tenda ya kuhamisha hicho chelezo kwa gharama sawa na kununua kipya?!!! na bado kuna watu haopa wanatetea, badala ya kujibu hoja, wanasema "ripoti haina mashiko"... duh! ama kweli ukipenda chongo huita kengeza na kama alivyosema mtoa hoja "wamekunywa maji ya Kyela".... Cha ajabu wandishi wa habari wamejificha wapi? Wapi Mzee Mwanakijiji? Wapi Mpita Njia? Wapi Manyerere Jackton? Wapi Halisi wapi Absalom Kibanda au Deodatus Balile? au wote ndio wanamuogopa "mpambanaji" mwenzao?
 
Mzee Ogah upo? nilisema hapa nikapewa maneno ya ajabu sana. Hii ripoti ni tone la maji ya chupa katika bahari ya Hindi.... Najua yapo mengi na aliyeandika haya ameaona aweke tu. Imefikia mahali hata zile tuhuma nilizosema TPA wamezihalalisha kwa kusema, "watasema watachoka na sasa wamenyamaza"... mfano wa kuhamisha chelezo kutoka Bandari ya Mwanza kwenda Kyela, hadi wametangaza katika magazeti tenda ya kuhamisha hicho chelezo kwa gharama sawa na kununua kipya?!!! na bado kuna watu haopa wanatetea, badala ya kujibu hoja, wanasema "ripoti haina mashiko"... duh! ama kweli ukipenda chongo huita kengeza na kama alivyosema mtoa hoja "wamekunywa maji ya Kyela".... Cha ajabu wandishi wa habari wamejificha wapi? Wapi Mzee Mwanakijiji? Wapi Mpita Njia? Wapi Manyerere Jackton? Wapi Halisi wapi Absalom Kibanda au Deodatus Balile? au wote ndio wanamuogopa "mpambanaji" mwenzao?

Mkuu Tina .....heshima mbele.....nimeisoma taarifa ya John Ulanga.....kwa kweli kuna hoja nyingi za msingi......kama alichoandika John ni sahihi.....sijui kwanini Eng. Kipande yuko ofisini muda huu......

....ninaendelea kujiuliza....ni kwa misingi ipi Dr Mwakyembe aliivunja Bodi ya akina John, Bakari, Mamilo et al .......

...hivi kweli Acting DG anakuwa na Kiburi namna hii!!??......whaat?.....Acting!...hii si bure aisee...
 
Mkuu Tina .....heshima mbele.....nimeisoma taarifa ya John Ulanga.....kwa kweli kuna hoja nyingi za msingi......kama alichoandika John ni sahihi.....sijui kwanini Eng. Kipande yuko ofisini muda huu......

....ninaendelea kujiuliza....ni kwa misingi ipi Dr Mwakyembe aliivunja Bodi ya akina John, Bakari, Mamilo et al .......

...hivi kweli Acting DG anakuwa na Kiburi namna hii!!??......whaat?.....Acting!...hii si bure aisee...

Bado yupo na bado anaendelea kuchapa kazi
 
Back
Top Bottom