Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
Serikali ya CCM imejawa na uozo kila sehemu. Ufisadi na kulindana. Badala ya kufuata maagizo (mapendekezo) ya Bodi ya Wakurugenzi dhidi ya Mkurugenzi mkuu wa Bandarai TPA, Waziri husika, Prof. Mwakyembe alivunja Bodi ya TPA ili kumlinda Ndg. Madeni Kipande dhidi ya tuhuma mbali mbali zilizomkabili zikiwemo.
1. Kutokutekeleza maagizo ya bodi ya wakurugenzi
2. Jinsi alivyoendesha uajiri wa viongozi wa juu kinyume cha maagizo ya bodi
3. Ubaguzi dhidi ya wafanyakazi, watu wa makabila tofauti. Chuki na wana CHADEMA
4. Sexual harassment. Huyu Mkurugenzi amewasumbua sana wanawake wengi. Asipokubali kulalwa, anafukuzwa au kupewa wakati mgumu ndani ya TPA.
5. Kuingia kwenye mikataba bila kufuata taratibu hasa kwenye swala la e-CTN. Alikataa ushauri kutoka kwa wanasheria, etc…
6. Kuchelewesha utekelezaji wa "Big Results Now"
7. Kumdanganya Waziri. Eng. Kipande alimdanganya waziri kwamba bandari ya Dar. Imeongeza makusanyo yake kutoka Tsh. 28Billion to 50.billion. Ila imekuja kugundulika kwamba mapato yaliongezeka kutoka 24billion to 42billion
8. Kutokuheshima sheria za ajira. This can be witnessed by his action of directing that the positions of Director of Marketing, and the Director of Procurement and Supplies be advertised only because they have applied for the position of the Director General of TPA.
9. Shutuma za kijinga dhidi ya bodi ya wakurugenzi. He has alleged some/many of the Board Directors to be CHADEMA or Members of the Opposition, Spreading information to the Media, Incompetent in what they are doing, Wachagga, Wana Udini, etc. 10. Kiburi na jeuri.. Eng. Kipande used disrespectful language against individual Board Directors, such as "Hamnitishi Kitu", "Mna nini kunizidi mimi nyie" "Hamna lolote", etc.
Mapendekezo
Mr. Chairman, Having said all the above and based on the facts, evidence, and examples I have presented, I would like to end by proposing resolutions to be adopted by your Board in this meeting. Mr. Chairman, I propose that, the Board of Directors of Tanzania Ports Authority resolves to: · Suspend with immediate effect, Eng. Madeni Kipande, the Acting Director General of TPA to allow for further investigations on the above and other matters related to his conduct and behavior since he joined TPA. · Commission an independent investigation on the conduct and behavior of Eng. Madeni Kipande so that the Board can take appropriate measures thereafter. Mr. Chairman, I thank you all for your attention and I beg to submit my motion for deliberation and decision.
NB: Repoti inayofuata inatisha. Soma kwa wakati wako na Uamue kama CCM inafaa kubaki madarakani. Wanawake waokolewe makazini kutoka midomoni mwa manhayang'au waolindwa na watawala kama E.g.Kipande......Tutaendelea kuwaletea ripoti mbali mbali taratibu. Kama unayo ya siri tuna, kupitia barua pepe hapo chini. Jina lako daima litakuwa siri. Badala ya kumtumia Zitto Kabwe kuleta migogoro Chadema, CCM ingefanya busara kushugulikia matatizo kama haya
1. Kutokutekeleza maagizo ya bodi ya wakurugenzi
2. Jinsi alivyoendesha uajiri wa viongozi wa juu kinyume cha maagizo ya bodi
3. Ubaguzi dhidi ya wafanyakazi, watu wa makabila tofauti. Chuki na wana CHADEMA
4. Sexual harassment. Huyu Mkurugenzi amewasumbua sana wanawake wengi. Asipokubali kulalwa, anafukuzwa au kupewa wakati mgumu ndani ya TPA.
5. Kuingia kwenye mikataba bila kufuata taratibu hasa kwenye swala la e-CTN. Alikataa ushauri kutoka kwa wanasheria, etc…
6. Kuchelewesha utekelezaji wa "Big Results Now"
7. Kumdanganya Waziri. Eng. Kipande alimdanganya waziri kwamba bandari ya Dar. Imeongeza makusanyo yake kutoka Tsh. 28Billion to 50.billion. Ila imekuja kugundulika kwamba mapato yaliongezeka kutoka 24billion to 42billion
8. Kutokuheshima sheria za ajira. This can be witnessed by his action of directing that the positions of Director of Marketing, and the Director of Procurement and Supplies be advertised only because they have applied for the position of the Director General of TPA.
9. Shutuma za kijinga dhidi ya bodi ya wakurugenzi. He has alleged some/many of the Board Directors to be CHADEMA or Members of the Opposition, Spreading information to the Media, Incompetent in what they are doing, Wachagga, Wana Udini, etc. 10. Kiburi na jeuri.. Eng. Kipande used disrespectful language against individual Board Directors, such as "Hamnitishi Kitu", "Mna nini kunizidi mimi nyie" "Hamna lolote", etc.
Mapendekezo
Mr. Chairman, Having said all the above and based on the facts, evidence, and examples I have presented, I would like to end by proposing resolutions to be adopted by your Board in this meeting. Mr. Chairman, I propose that, the Board of Directors of Tanzania Ports Authority resolves to: · Suspend with immediate effect, Eng. Madeni Kipande, the Acting Director General of TPA to allow for further investigations on the above and other matters related to his conduct and behavior since he joined TPA. · Commission an independent investigation on the conduct and behavior of Eng. Madeni Kipande so that the Board can take appropriate measures thereafter. Mr. Chairman, I thank you all for your attention and I beg to submit my motion for deliberation and decision.
NB: Repoti inayofuata inatisha. Soma kwa wakati wako na Uamue kama CCM inafaa kubaki madarakani. Wanawake waokolewe makazini kutoka midomoni mwa manhayang'au waolindwa na watawala kama E.g.Kipande......Tutaendelea kuwaletea ripoti mbali mbali taratibu. Kama unayo ya siri tuna, kupitia barua pepe hapo chini. Jina lako daima litakuwa siri. Badala ya kumtumia Zitto Kabwe kuleta migogoro Chadema, CCM ingefanya busara kushugulikia matatizo kama haya