Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
- Thread starter
- #21
Ila hii ya kuwataja hao akina mama hapo umeuwa bendi;
Wengine waume zao wako huku huku jf jamani tuwe walau na
staha kidogo;
Mkuu hao wamama hawana hatia. Walionewa, na inabidi umma ujue uozo wa huyu Kipande. Wewe watu wenye watoto wadogo na waume zao kwa sbabu tu ya ajira wananyanyaswa makazini?
Kumbe pia ni mbaguzi hadi wa kidini na bado yuko ofisini?
Mwakyembe fanya la maana huyu mtu aondoke kwenye hiyo nafasi, unless kuna ajenda ya siri