DOKEZO Ufisadi wa kutisha Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kupitia kampuni ya Ongujo Investment

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Obwere Kabwana

New Member
Sep 20, 2023
2
3
Waziri wa TAMISEMI na Taasizi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) tumeni kikosi kazi kuchunguza Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kuna ufisadi wa kutisha.

Kampuni ya Ongujo Invesment inayomilikiwa na Ndg. Ongujo Wakibara (OWAN) ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Rorya imepewa zabuni ya kununua Bolt na Nut kwa bei ya kutupwa Tsh. 31,539,340 badala ya bei iliyopo sokoni ambayo ni Tsh. 50,000. Zabuni hii haikutangazwa kama Sheria ya Manunuzi inavyotaka zabuni zote zenye thamani zaidi ya Tsh. Milioni Tano (5,000,000) lazima zitangazwe.

Mkataba kati ya Ongujo Investment kutopitishwa na Bodi ya Zabuni (Tender Board) kinyume na Sheria ya Manunuzi PPA, 2011 Section 35(1), (2) & (3). Zabuni kutofuata sheria ya Manunuzi (The Public Procurement (Ammendment) Regulation, 2016-Section 91-Method of tendering.

Kampuni hii imekuwa na rekodi mbovu ya utekelezaji wa zabuni katika Halmashauri ya Wilaya ya Rorya.

Mwaka 2021 Kampuni ya Ongujo Investment ilipewa zabuni ya Shilingi Milioni Mia Saba (700,000,000) Fedha za Covid 2019 kusambaza vifaa vya ujenzi hadi leo hajakabidhi Floor Tiles zenye thamani ya Tzs Milioni mia Mmoja na hamsini (150,000,000) na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa dhidi yake

Mwaka wa Fedha 2023/2024 Kampuni hii imepewa kandarasi ya kujenga Madarasa Shule ya Sekondari Rabuor, matofali yanayotumika katika ujenzi yapo chini ya kiwango na ukuta tayari umeweka ufa na kuhatarisha uhai wa wanafunzi wanaosoma katika shule hii.

Mheshimwa Waziri Mchengerwa na Kamanda wa TAKUKURU Inspekta Jenerali Hamduni Watanzania wana imani kubwa sana na kazi mnazofanya, changamoto mnayopata ni mnaangushwa na wasaidizi waliopo katika ngazi za Wilaya na Mikoa. Ni aibu ufisadi unafanyika na kuna DC, Kamamnda wa TAKUKURU (W), DSO na kamati za ulinzi na usalama Wilaya chini ya DC.

Pitia attachment soma namba 2301503

Ongujo.png



,
 
Wanatuona kama Manyani
 
Waziri wa TAMISEMI na Taasizi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) tumeni kikosi kazi kuchunguza Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kuna ufisadi wa kutisha.

Kampuni ya Ongujo Invesment inayomilikiwa na Ndg. Ongujo Wakibara (OWAN) ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Rorya imepewa zabuni ya kununua Bolt na Nut kwa bei ya kutupwa Tsh. 31,539,340 badala ya bei iliyopo sokoni ambayo ni Tsh. 50,000. Zabuni hii haikutangazwa kama Sheria ya Manunuzi inavyotaka zabuni zote zenye thamani zaidi ya Tsh. Milioni Tano (5,000,000) lazima zitangazwe.

Mkataba kati ya Ongujo Investment kutopitishwa na Bodi ya Zabuni (Tender Board) kinyume na Sheria ya Manunuzi PPA, 2011 Section 35(1), (2) & (3). Zabuni kutofuata sheria ya Manunuzi (The Public Procurement (Ammendment) Regulation, 2016-Section 91-Method of tendering.

Kampuni hii imekuwa na rekodi mbovu ya utekelezaji wa zabuni katika Halmashauri ya Wilaya ya Rorya.

Mwaka 2021 Kampuni ya Ongujo Investment ilipewa zabuni ya Shilingi Milioni Mia Saba (700,000,000) Fedha za Covid 2019 kusambaza vifaa vya ujenzi hadi leo hajakabidhi Floor Tiles zenye thamani ya Tzs Milioni mia Mmoja na hamsini (150,000,000) na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa dhidi yake

Mwaka wa Fedha 2023/2024 Kampuni hii imepewa kandarasi ya kujenga Madarasa Shule ya Sekondari Rabuor, matofali yanayotumika katika ujenzi yapo chini ya kiwango na ukuta tayari umeweka ufa na kuhatarisha uhai wa wanafunzi wanaosoma katika shule hii.

Mheshimwa Waziri Mchengerwa na Kamanda wa TAKUKURU Inspekta Jenerali Hamduni Watanzania wana imani kubwa sana na kazi mnazofanya, changamoto mnayopata ni mnaangushwa na wasaidizi waliopo katika ngazi za Wilaya na Mikoa. Ni aibu ufisadi unafanyika na kuna DC, Kamamnda wa TAKUKURU (W), DSO na kamati za ulinzi na usalama Wilaya chini ya DC.

Pitia attachment soma namba 2301503

View attachment 2761801


,
Duii
 
Ccm watamlinda mwenyekiti wao,hii nchi ukitaka dili zako za wizi na ufisadi jiunge ccm,gombea ngazi za uongozi ndani ya chama hakuna chombo cha dola kitakugusa.
 
Waziri wa TAMISEMI na Taasizi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) tumeni kikosi kazi kuchunguza Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kuna ufisadi wa kutisha.

Kampuni ya Ongujo Invesment inayomilikiwa na Ndg. Ongujo Wakibara (OWAN) ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Rorya imepewa zabuni ya kununua Bolt na Nut kwa bei ya kutupwa Tsh. 31,539,340 badala ya bei iliyopo sokoni ambayo ni Tsh. 50,000. Zabuni hii haikutangazwa kama Sheria ya Manunuzi inavyotaka zabuni zote zenye thamani zaidi ya Tsh. Milioni Tano (5,000,000) lazima zitangazwe.

Mkataba kati ya Ongujo Investment kutopitishwa na Bodi ya Zabuni (Tender Board) kinyume na Sheria ya Manunuzi PPA, 2011 Section 35(1), (2) & (3). Zabuni kutofuata sheria ya Manunuzi (The Public Procurement (Ammendment) Regulation, 2016-Section 91-Method of tendering.

Kampuni hii imekuwa na rekodi mbovu ya utekelezaji wa zabuni katika Halmashauri ya Wilaya ya Rorya.

Mwaka 2021 Kampuni ya Ongujo Investment ilipewa zabuni ya Shilingi Milioni Mia Saba (700,000,000) Fedha za Covid 2019 kusambaza vifaa vya ujenzi hadi leo hajakabidhi Floor Tiles zenye thamani ya Tzs Milioni mia Mmoja na hamsini (150,000,000) na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa dhidi yake

Mwaka wa Fedha 2023/2024 Kampuni hii imepewa kandarasi ya kujenga Madarasa Shule ya Sekondari Rabuor, matofali yanayotumika katika ujenzi yapo chini ya kiwango na ukuta tayari umeweka ufa na kuhatarisha uhai wa wanafunzi wanaosoma katika shule hii.

Mheshimwa Waziri Mchengerwa na Kamanda wa TAKUKURU Inspekta Jenerali Hamduni Watanzania wana imani kubwa sana na kazi mnazofanya, changamoto mnayopata ni mnaangushwa na wasaidizi waliopo katika ngazi za Wilaya na Mikoa. Ni aibu ufisadi unafanyika na kuna DC, Kamamnda wa TAKUKURU (W), DSO na kamati za ulinzi na usalama Wilaya chini ya DC.

Pitia attachment soma namba 2301503

View attachment 2761801


,
Ccm ni donda ndugu na haliponi
 
Waziri wa TAMISEMI na Taasizi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) tumeni kikosi kazi kuchunguza Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kuna ufisadi wa kutisha.

Kampuni ya Ongujo Invesment inayomilikiwa na Ndg. Ongujo Wakibara (OWAN) ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Rorya imepewa zabuni ya kununua Bolt na Nut kwa bei ya kutupwa Tsh. 31,539,340 badala ya bei iliyopo sokoni ambayo ni Tsh. 50,000. Zabuni hii haikutangazwa kama Sheria ya Manunuzi inavyotaka zabuni zote zenye thamani zaidi ya Tsh. Milioni Tano (5,000,000) lazima zitangazwe.

Mkataba kati ya Ongujo Investment kutopitishwa na Bodi ya Zabuni (Tender Board) kinyume na Sheria ya Manunuzi PPA, 2011 Section 35(1), (2) & (3). Zabuni kutofuata sheria ya Manunuzi (The Public Procurement (Ammendment) Regulation, 2016-Section 91-Method of tendering.

Kampuni hii imekuwa na rekodi mbovu ya utekelezaji wa zabuni katika Halmashauri ya Wilaya ya Rorya.

Mwaka 2021 Kampuni ya Ongujo Investment ilipewa zabuni ya Shilingi Milioni Mia Saba (700,000,000) Fedha za Covid 2019 kusambaza vifaa vya ujenzi hadi leo hajakabidhi Floor Tiles zenye thamani ya Tzs Milioni mia Mmoja na hamsini (150,000,000) na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa dhidi yake

Mwaka wa Fedha 2023/2024 Kampuni hii imepewa kandarasi ya kujenga Madarasa Shule ya Sekondari Rabuor, matofali yanayotumika katika ujenzi yapo chini ya kiwango na ukuta tayari umeweka ufa na kuhatarisha uhai wa wanafunzi wanaosoma katika shule hii.

Mheshimwa Waziri Mchengerwa na Kamanda wa TAKUKURU Inspekta Jenerali Hamduni Watanzania wana imani kubwa sana na kazi mnazofanya, changamoto mnayopata ni mnaangushwa na wasaidizi waliopo katika ngazi za Wilaya na Mikoa. Ni aibu ufisadi unafanyika na kuna DC, Kamamnda wa TAKUKURU (W), DSO na kamati za ulinzi na usalama Wilaya chini ya DC.

Pitia attachment soma namba 2301503

View attachment 2761801


,
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority looters and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few looters whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except looters themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava boat by which they were sailing!
 
Back
Top Bottom