Halmashauri ya wilaya Rorya ina changamoto ya maji

Omolo

New Member
Jan 31, 2021
2
0
Halmashauri ya wilaya ya Rorya ni halmashauri zilizoanzishwa miaka kadha huko nyuma, mbali na kwamba halmashauri hii imeshachukua muda mrefu tangu kuanzishwa kwake lakini kuna huduma zingine zimekuwa ni changamoto, mfano wa huduma hizo ni suala la maji, na ubovu wa miundombinu ya barabara, licha ya kuwa na Ziwa Victoria karibu lakini wananchi wanateseka na huduma ya maji kwani hakuna maji ya bomba katika vijiji vinavyozunguka halmashauri.

Pia tangu mbunge wa zamani atoke kwenye ubunge barabara zimekufa na nyingine hazipitiki kabisa, hivyo naomba mamlaka kuangalia hilo kwa jicho la pili.
 
Halmashauri ya wilaya ya Rorya ni halmashauri zilizoanzishwa miaka kadha huko nyuma, mbali na kwamba halmashauri hii imeshachukua muda mrefu tangu kuanzishwa kwake lakini kuna huduma zingine zimekuwa ni changamoto, mfano wa huduma hizo ni suala la maji, na ubovu wa miundombinu ya barabara, licha ya kuwa na Ziwa Victoria karibu lakini wananchi wanateseka na huduma ya maji kwani hakuna maji ya bomba katika vijiji vinavyozunguka halmashauri.

Pia tangu mbunge wa zamani atoke kwenye ubunge barabara zimekufa na nyingine hazipitiki kabisa, hivyo naomba mamlaka kuangalia hilo kwa jicho la pili.
John Mashaka yupo Wall street New York anatoka Jimbo hilo karibu na Makongoro, ondoweni matapeli wote wa ccm mrudisheni hiyo kichwa kutoka New York aje awabadirishie maisha.

Hao CCM ni laana Kwa Taifa, huyo La Cairo na utajili wake kafanya lipi la maana hapo?
Zaidi ya wajaluo kucheza disco tu shirati 24 hours 7 days a week
 
Halmashauri ya wilaya ya Rorya ni halmashauri zilizoanzishwa miaka kadha huko nyuma, mbali na kwamba halmashauri hii imeshachukua muda mrefu tangu kuanzishwa kwake lakini kuna huduma zingine zimekuwa ni changamoto, mfano wa huduma hizo ni suala la maji, na ubovu wa miundombinu ya barabara, licha ya kuwa na Ziwa Victoria karibu lakini wananchi wanateseka na huduma ya maji kwani hakuna maji ya bomba katika vijiji vinavyozunguka halmashauri.

Pia tangu mbunge wa zamani atoke kwenye ubunge barabara zimekufa na nyingine hazipitiki kabisa, hivyo naomba mamlaka kuangalia hilo kwa jicho la pili.
Kweli Hilo limekuwa changamoto,, na hiyo inatokana na uwakilishi mbaya wa viongozi katika ngazi za juu. Maybe tusubiri chaguzi zianze labda watarekebisha wakiomba kura.
 
Swala la maji ni changamoto kubwa Sana kwa maeneo mengi Sana hata km eneo limezungukwa na Vyanzo vya maji....mfn Jiji la mwanza maeneo mengi nje ya Mji hayana maji hata km changamoto ni Milima lkn, Swala la maji limekuwa mtihani Sana kwa wizara ya Maji.. ni aibu Sana Wakazi wa Mwanza hasa waliopo karibu na ziwa wanakosa maji safi, na wanabaki kutumia maji ya visima...
 
Back
Top Bottom