Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,955
- 22,131
UFISADI MPYA CC
---KAPTEN KOMBA ABEBESHWA TUHUMA
--RIPOTI YAORODHESHA ULAJI MKUBWA WA ""tOT"
--CCM YATHIBITISHA ,,KOMBA AKANA TUHUMA
--ADAI NI CHUKI NA MAJUNGU
---KITAMBI CHOTE KUISHA???
Mkurugenzi wa kikundi cha TOT kapten john komba anakabiliwa na tuhuma chafu za ubadhirifu wa mamilion kinachomilikiwa na chama cha mapinduzi
tuhuma hizo zimeibuliwa baada ya ukaguzi wa mara kwa mara unaofanywa katika asasi zinazotolewa na chama cha mapinduzi..ukaguzi huo ulifanyika kuanzia machi 3 hadi 16 na baadaye apr 1 hadi 6..
katika taarifa ya uchunguzi komba anadaiwa kutafuna zaidi ya sh milllioni 30...zaidi ya mishahara ya wafanyakazi wa tot miezi 15
uchunguzi uliopata baraka za chama unaonyesha CCM ilitoa sh 37,442.923
kwa ajili ya malimbikizo ya mishahara ya miezi 14 kuanzia agosti 2006 hadi aug 2007
malipo ya awami ya kwanza yalifanyika kwa hati namba 056996 ya sh 18,532,458 na tar 21/12/2007 hati ya malipo namba 1343 ya sh18,910,465 ilisema tarifa ya uchunguzi,ukaguzi ulishtuka kuona majina ya watu waliosainishwa nakulipwa sh 6928298 kwa muda wa miezi miwili tu..watumishi waliulizwa na kukiri walipewa malimbikizom ya miezi miwili tu....
"""""''
PIA VIONGOZI HAWA WANAHUSISHWA NA UDANGANYIFU WA KUWALIPA MAREHEMU WASIO WAASIS WA CHAMA JUMLA YA SH 27,3MILLIONI
LAKINI BAADHI WALIOTAJWA KWENYE ORODHA WAMEKANA KULIPWA FEDHA ZOZOTE..KWA MUJIBU WA UCHUNGUZI LINAONYESHA JINA LA MAREHEMU NA JINA LA MRITHI NA KIASI ALICHOPEWA
MAREHEMU :::GODFERY LUGENDO \
MRITHI WAKE HAJI MWAMNTUMU ALISAINI MILLION 4,320,000
MAREHEMU ::LEYLA HATIBU
MRITHI :MONICA ROBERT ALISAINI SH MILLION 6,752,000
MAREHEMU ::FRED MSHANA
MRITHI::BENSON MSHANA ALISAINI 4,880,000
MAREHEMU::HAMIMU HAMERA
MRITHI::MWANAKOMBO AHMED ALISAINI 4,240,000
MAREHEMU ::SALUM POOGWE
MRITHI::NURU SALUM
ALISAINI 7,200,000
FEDHA ZOTE ZILIZOLIPWA KWA AJILI HIYO NI SH MILLION 27,000,000
MADAI MENGINE ANAYOTUHUMIWA KOMBA NIKUWAPUNJA WAFANYAKAZI WA TO KWA KUWALIPA POSHO YA SH 20,000 WAKIWA NJE BADALA YA SH 40,000
ZINAZOTOLEWA NA CHAMA
TAARIFA INAONYESHA WAKISAFIRI KILASIKU NJE YA DAR VIONGOZI WANALIPWA SH 40,000 NA WALIOBAKI 30,000 WANAOKWENDA KUCHUKUA FEDHA HIZO NI AMA KAPT KOMBA AMGASPER TUMAINI..FEDDHA HIZI HUWA HAZIINGI KITABUNI WALA WASANII HAWARUHUSIWI KUSAINI SEHEMU YOYOTE ILISEMA TAARIFA
UKIACHA HIZO KASHFA TAARIFA INASEMA KOMBA ANATUHUMIWA KUSAJILI GARI LA CCM KWA JINA LA ASASI YAKE IJULIKANAYO KAMA EDUCARE GIRLS...HE MUNGU WANGU??????????????????????
PIA ALISAJILI GARI JIPYA LA CHAMA NISSAN CIVILLIAN MINI BUS TZT 8978 NA BAADAYE AKALIUZWA KA SH 2300,000 WAKATI ALINUNUA KWA SH 16,200,000
PIA ANAKABILIWA KUUZA GARI LA CHAMA MITSUBISHI TZR 6056 KINYUME NA UTARATIBU NA UKAGUZI WA ANASEMA HAJASEMA ALIPATA KIASI GANAI NA ZILITUMIKAJE...TARRIFA NYINGINE INASEMA KABLA YA UCHAGUZI WA 2005 ALIPEWA NA CCM MAGARI 3 SCANIA LA KUVUTA TELA..ISUZU FORWARD NAMBA T488 AHD NA BASI DOGO T203 ABC..KUTOKANA NA TUHUMA HIZO IMEEPENDEKEZWA KUANZIA SASA MALIZOTE ZIWE CHINI YA MAJINA YA CCM.NA ZISAJILIWE NA JINA LA CCM NA KOMBA AREJESHE FEDHA ZOTE
---KAPTEN KOMBA ABEBESHWA TUHUMA
--RIPOTI YAORODHESHA ULAJI MKUBWA WA ""tOT"
--CCM YATHIBITISHA ,,KOMBA AKANA TUHUMA
--ADAI NI CHUKI NA MAJUNGU
---KITAMBI CHOTE KUISHA???
Mkurugenzi wa kikundi cha TOT kapten john komba anakabiliwa na tuhuma chafu za ubadhirifu wa mamilion kinachomilikiwa na chama cha mapinduzi
tuhuma hizo zimeibuliwa baada ya ukaguzi wa mara kwa mara unaofanywa katika asasi zinazotolewa na chama cha mapinduzi..ukaguzi huo ulifanyika kuanzia machi 3 hadi 16 na baadaye apr 1 hadi 6..
katika taarifa ya uchunguzi komba anadaiwa kutafuna zaidi ya sh milllioni 30...zaidi ya mishahara ya wafanyakazi wa tot miezi 15
uchunguzi uliopata baraka za chama unaonyesha CCM ilitoa sh 37,442.923
kwa ajili ya malimbikizo ya mishahara ya miezi 14 kuanzia agosti 2006 hadi aug 2007
malipo ya awami ya kwanza yalifanyika kwa hati namba 056996 ya sh 18,532,458 na tar 21/12/2007 hati ya malipo namba 1343 ya sh18,910,465 ilisema tarifa ya uchunguzi,ukaguzi ulishtuka kuona majina ya watu waliosainishwa nakulipwa sh 6928298 kwa muda wa miezi miwili tu..watumishi waliulizwa na kukiri walipewa malimbikizom ya miezi miwili tu....
"""""''
PIA VIONGOZI HAWA WANAHUSISHWA NA UDANGANYIFU WA KUWALIPA MAREHEMU WASIO WAASIS WA CHAMA JUMLA YA SH 27,3MILLIONI
LAKINI BAADHI WALIOTAJWA KWENYE ORODHA WAMEKANA KULIPWA FEDHA ZOZOTE..KWA MUJIBU WA UCHUNGUZI LINAONYESHA JINA LA MAREHEMU NA JINA LA MRITHI NA KIASI ALICHOPEWA
MAREHEMU :::GODFERY LUGENDO \
MRITHI WAKE HAJI MWAMNTUMU ALISAINI MILLION 4,320,000
MAREHEMU ::LEYLA HATIBU
MRITHI :MONICA ROBERT ALISAINI SH MILLION 6,752,000
MAREHEMU ::FRED MSHANA
MRITHI::BENSON MSHANA ALISAINI 4,880,000
MAREHEMU::HAMIMU HAMERA
MRITHI::MWANAKOMBO AHMED ALISAINI 4,240,000
MAREHEMU ::SALUM POOGWE
MRITHI::NURU SALUM
ALISAINI 7,200,000
FEDHA ZOTE ZILIZOLIPWA KWA AJILI HIYO NI SH MILLION 27,000,000
MADAI MENGINE ANAYOTUHUMIWA KOMBA NIKUWAPUNJA WAFANYAKAZI WA TO KWA KUWALIPA POSHO YA SH 20,000 WAKIWA NJE BADALA YA SH 40,000
ZINAZOTOLEWA NA CHAMA
TAARIFA INAONYESHA WAKISAFIRI KILASIKU NJE YA DAR VIONGOZI WANALIPWA SH 40,000 NA WALIOBAKI 30,000 WANAOKWENDA KUCHUKUA FEDHA HIZO NI AMA KAPT KOMBA AMGASPER TUMAINI..FEDDHA HIZI HUWA HAZIINGI KITABUNI WALA WASANII HAWARUHUSIWI KUSAINI SEHEMU YOYOTE ILISEMA TAARIFA
UKIACHA HIZO KASHFA TAARIFA INASEMA KOMBA ANATUHUMIWA KUSAJILI GARI LA CCM KWA JINA LA ASASI YAKE IJULIKANAYO KAMA EDUCARE GIRLS...HE MUNGU WANGU??????????????????????
PIA ALISAJILI GARI JIPYA LA CHAMA NISSAN CIVILLIAN MINI BUS TZT 8978 NA BAADAYE AKALIUZWA KA SH 2300,000 WAKATI ALINUNUA KWA SH 16,200,000
PIA ANAKABILIWA KUUZA GARI LA CHAMA MITSUBISHI TZR 6056 KINYUME NA UTARATIBU NA UKAGUZI WA ANASEMA HAJASEMA ALIPATA KIASI GANAI NA ZILITUMIKAJE...TARRIFA NYINGINE INASEMA KABLA YA UCHAGUZI WA 2005 ALIPEWA NA CCM MAGARI 3 SCANIA LA KUVUTA TELA..ISUZU FORWARD NAMBA T488 AHD NA BASI DOGO T203 ABC..KUTOKANA NA TUHUMA HIZO IMEEPENDEKEZWA KUANZIA SASA MALIZOTE ZIWE CHINI YA MAJINA YA CCM.NA ZISAJILIWE NA JINA LA CCM NA KOMBA AREJESHE FEDHA ZOTE