Nyangumi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2007
- 507
- 17
Mkuu FEMS,
Niongeze tu kuwa kuna wale ambao nao wanatamani kukaa kuume kwa wakubwa hao, kazi yao ni kusifia kila kitu ili mradi tu kinatendwa na wao. Wengine ni wale waliosahaulika, kisha wakapiga kelele kidogo lakini kwa kuwa wanafahamika wakaonywa na wengine wakaahidiwa mshikaki wa kasungura au wakapewa ufadhili na namna fulani, hawa nao wamekuwa bendera fuata upepo na hawako tayari kuwachambua maafisadi hawa kwani wanajulikana au wanaogopa kukatiwa mirija kama mwanzo.
Niongeze tu kuwa kuna wale ambao nao wanatamani kukaa kuume kwa wakubwa hao, kazi yao ni kusifia kila kitu ili mradi tu kinatendwa na wao. Wengine ni wale waliosahaulika, kisha wakapiga kelele kidogo lakini kwa kuwa wanafahamika wakaonywa na wengine wakaahidiwa mshikaki wa kasungura au wakapewa ufadhili na namna fulani, hawa nao wamekuwa bendera fuata upepo na hawako tayari kuwachambua maafisadi hawa kwani wanajulikana au wanaogopa kukatiwa mirija kama mwanzo.