zacha
JF-Expert Member
- Feb 28, 2009
- 1,189
- 1,828
Jamani wadanganyika wenzangu kwa info nilizozipata kutoka kwa wachunguzi wa mambo kuhusu mkataba wa mwarabu wa Mlimani City na Chuo Kikuuu...
Habari zinasema yule mwarabu kapewa kile kiwanja ajenge na afanyie biashara kwa muda wa miaka 50 bila kulipia kodi yoyote........ halafu baada ya muda huo ndo majengo na kila kitu vinakuwa chini ya chuo... Ebu tuangalie hii kitu jinsi ilivyokaa..
Ni nani atakaye faidi katika huu mkataba?
=====
2017 updates:
Ripoti ya CAG: Mkataba wa Mlimani City na Chuo Kikuu cha UDSM ni wizi mtupu
Habari zinasema yule mwarabu kapewa kile kiwanja ajenge na afanyie biashara kwa muda wa miaka 50 bila kulipia kodi yoyote........ halafu baada ya muda huo ndo majengo na kila kitu vinakuwa chini ya chuo... Ebu tuangalie hii kitu jinsi ilivyokaa..
Ni nani atakaye faidi katika huu mkataba?
=====
2017 updates:
Ripoti ya CAG: Mkataba wa Mlimani City na Chuo Kikuu cha UDSM ni wizi mtupu