Ufisadi na Rushwa Tanzania, Lowassa anaonewa

Ufisadi na Rushwa Tanzania, Lowassa anaonewa

Umejitahidi sana kujitetea au kumtetea Lowasa, lakini utetezi wako unakosa misingi ya utetezi. Unaposema kile ua hiki kilitendeka wakati wa Waziri Malcela au Sumaye au whoever, husemi ni namna gani Waziri husika alihusika na ufisadi huo. Lowasa anatuhumiwa siyo kwa sababu alikuwa Waziri Mkuu hapana! Anatuhumiwa kwa sababu tume ya Bunge ya Dr Harrison Mwakyembe iliyopewa jukumu la kuchunguza tuhuma za Richmoond ilibaini namana Lowasa alivyohusika na ufisadi ule. Hivyo kuna document (waraka) maalum unaotoa maelezo ya kiina juu ya tuhuma hizi. Si rahisi kufuta taarifa tume ya Bunge. Hao mawziri wako unaotaka kufanananisha na tuhuma za Lowasa hakuna taarifa rasmi zinazowahusisha wao moja kwa moja.
Jambo la pili ni kuwa hata kama wao nao walituhumiwa haiwezi kuwa kibali cha kumruhusu Lowasa kufanya ufisadi kwa kisingizio ati Waziri Mkuu Sumaye au Malecela alifanya ufisadi uleule au unaofanana nao. Kosa halihalalishi kosa lingine lisiwe kosa. Huwezi kuiba ati kwa sababu fulani aliiba akaachiwa. What nu sense argument?
Lakini kwa nini tunapigana kufa na kupona kutetea uovu na kumsafisha muovu? Ni kwa sababu hakuna watanzania wengine wasafi au ni kwa sababu na sisi ni waovu hivyo tunataka kuunda umoja wa watu waovu? Tanzania lieweke kama taifa la waovu? Ufisadi umeota mizizi kiasi kwamba umeunda umoja wa kujitetea na kupambana na watu waadilifu ili waadilifu waonekane kama ndiyo wenye makosa dhidi ya mafisadi. Mafisadi sasa wameanza mashambulizi dhidi ya waadilifu? Jambo hili si la ajabu katika jamii kwa sababu jambazi ukilikurupushwa ama zako ama zake. Majambazi, daima katika kutekeleza azima zao huua watu wenye mali zao ili kupora wakitakacho. Si ajabu fisadi Lowasa kuwaona watu wote wanaofichua uovu wake kuonekana kama wanamuonea na akiweza anaweza kuwashambulia ili awatokomeze kabisa, lakini kwa bahati mbaya uovu haujawahi kuushinda uzuri. Lazima JOKA LISHINDWE.
Wanaozungumzwa kuhusu ufisadi ni wengi lakini mbishi ni Lowasa, Waliokatwa kwenye nafasi ya Urais ni wengi lakini mbishi ni Lowasa, waliojiuzuru nafasi mbalimbali za uongozi ni wengi lakini aliyeonewa ni Lowasa peke yake ni Lowasa. Hivi ni kwa nini
Hivi ni Lowassa pekee ndiye fisadi ndani ya CCM?

- Je, wakati fedha za Mkonge kupitia mfanyabiashara aitwaye CHAVDA zinaibiwa
Lowassa alikuwa waziri mkuu? Alikuwa malecela!.

- Madini ya dhahabu yaliyokamatwa uwanja wa ndege wakati wa Rais Mwinyi yalikuwa ni madini ya
Lowassa?

- Wakati Akasha wa dawa za kulevya anakamatwa na kutoroshwa aliyehusika ni
Lowassa? Waziri Mkuu alikuwa Malecela.

- Mrema alipolipua bomu la mwenyekiti wa CCM kuhongwa milioni 900 za minofu ya samaki alikuwa ni Lowassa? Waziri mkuu alikuwa Sumaye .

- Kashfa ya sukari alikuwa ni Lowasa?
Waziri mkuu alikuwa Sumaye.

-
Kashfa ya Loliondo gate 1992 ya mtoto wa mfalme wa Kuwait alikuwa ni Lowassa? Kinana na Abubakar Mgumia walihusika.

- Wanyama hai kutoroshwa nje ya nchi alikuwa Lowassa? Waziri mkuu Pinda.

- EPA aliyeidhinisha fedha zichukuliwe alikuwa Lowassa? Mkapa na Mangula wanajua.

- NBC Bank kuuzwa alikuwa Lowasa? Mkapa na Sumaye wanahusika.

- Kiwira alikuwa Lowassa? Mkapa na Sumaye wanahusika.

- Rada na ndege ya rais alikuwa Lowassa? Mkapa,chenge na Dr. Rashid walihusika.

- Mkataba wa Buzwagi alikuwa Lowassa? Karamagi,Kikwete na Mwakapugi walihusika.

- Stimulus package ya wakulima wa pamba baada ya Mdororo wa uchumi duniani alikuwa Lowassa? Kigwangala na Kikwete wanajua.

- Fedha za Bunge la Katiba zilizobaki baada ya UKAWA kususia Bunge hilo bilioni 3.87 alizichukuwa Lowasa? Sitta,Samia suluhu wanahusika.

Bilioni 250 zilizolipwa wakandarasi hewa wa ujenzi wa barabara alikuwa Lowassa? Magufuri na Tizeba wanahusika.

- TTCL Kuuzwa kwa bei ya kutupa kwa Celtel alikuwa ni Lowassa? Mwandosya analo jibu.

- Mabehewa mitumba zilizonunuliwa alikuwa ni Lowassa? Mwakyembe anahusika.

- Kashfa za pembejeo za wakulima alikuwa ni Lowassa? Wassira na Pinda wanahusika.

- Fedha za Gadaffi alikuwa ni Lowassa? Alikuwa ni Membe.

- Ununuzi wa nyumba ya Ubalozi wa Tanzania Italia alikuwa ni Lowassa? Kikwete na Mahalu wanahusika.

- Escrow tegeta account alikuwa ni Lowassa? Kikwete,Muhongo,Maswi,Albert Marwa wanahusika.

- Mradi wa malaria no more alikuwa ni Lowassa? January Makamba mhusika.

NIENDELEE AU?
 
Saizi tumetambua ukweli kua akua mchafu bt walimchafua tu kwa chuki za kike
 
Umejitahidi sana kujitetea au kumtetea Lowasa, lakini utetezi wako unakosa misingi ya utetezi. Unaposema kile ua hiki kilitendeka wakati wa Waziri Malcela au Sumaye au whoever, husemi ni namna gani Waziri husika alihusika na ufisadi huo. Lowasa anatuhumiwa siyo kwa sababu alikuwa Waziri Mkuu hapana! Anatuhumiwa kwa sababu tume ya Bunge ya Dr Harrison Mwakyembe iliyopewa jukumu la kuchunguza tuhuma za Richmoond ilibaini namana Lowasa alivyohusika na ufisadi ule. Hivyo kuna document (waraka) maalum unaotofa maelezo ya kiina juu ya tuhuma hizi. Si rahisi kufuta taarifa tume ya Bunge. Hao mawziri wako unaotaka kufanananisha na tuhuma za Lowasa hakuna taarifa rasmi zinazowahusisha wao moja kwa moja.
Jambo la pili ni kuwa hata kama wao nao walituhumiwa haiwezi kuwa kibali cha kumruhusu Lowasa kufanya ufisadi kwa kisingizio ati Waziri Mkuu Sumaye au Malecela alifanya ufisadi uleule au unaofanana nao. Kosa halihalalishi kosa lingine lisiwe kosa. Huwezi kuiba ati kwa sababu fulani aliiba akaachiwa. What nu sense arguement?
Lakini kwa nini tunapigana kufa na kupona kutetea uovu na kumsafisha mchafu? Ni kwa sababu hakuna watanzania wengine wasafi au ni kwa sababu na sisi ni wachafu hivyo tunataka kuunda umoja wa watu wachafu? Tanzania lieweke kama taifa la wachafu? Ufisadi umeota mizizi kiasi kwamba umeunda umoja wa kujitetea na kupambana na watu waadilifu ili waadilifu waonekane kama ndiyo wenye makosa dhidi ya mafisadi. Mafisadi sasa wameanza mashambulizi dhidi ya waadilifu? Jambo hili si la ajabu katika jamii kwa sababu jambazi ukilikurupusha ama zako ama zake. Mambazi, daima katika kutekeleza azima zao huua watu wenye mali zao ili kupora wakitakacho. Si ajabu fisadi Lowasa kuwaona watu wote wanaofichua uovu wake kuonekana kama wanamuonea na akiweza anaweza kuwashambulia ili awatokomeze kabisa, lakini kwa bahati mbaya uovu haujawahi kuushina uzuri. Lazima JOKA LISHINDWE.

kweli binadamu hutumia miguu kufikir Leo hii huwezi kuongelea swala la Richmond ukamuacha kikwete huu utakuwa akil kidogo hamna

lazima tujitazame Mara mbili kwa nn lowasa? kwa namna hii haina budi kumkubali lowasa kwa nn kama mna uhakika msiende mahakaman?

kama rais wetu kashindwa kuzitolea ufafanuz ww utaweza??

chengine hivi kama ww n mwaadilifu ukikaa kwenye kind lisilo ba uadilifu utakuwa wa namna gan??

na kama ww s mwaadilifu ukikaa kwenye kund la mwaadilifu utakuwa wa namna gani?????

tuache unafiki tusiongelee polojo
 
UFISADI ASILIMIA 90 HAKUA LOWASA...
- Je, wakati fedha za Mkonge kupitia mfanyabiashara aitwaye CHAVDA zinaibiwa Lowassa alikuwa waziri mkuu? Alikuwa malecela!.

- Madini ya dhahabu yaliyokamatwa uwanja wa ndege wakati wa Rais Mwinyi yalikuwa ni madini ya Lowassa?

- Wakati Akasha wa dawa za kulevya anakamatwa na kutoroshwa aliyehusika ni Lowassa? Waziri Mkuu alikuwa Malecela.

- Mrema alipolipua bomu la mwenyekiti wa CCM kuhongwa milioni 900 za minofu ya samaki alikuwa ni Lowassa? Waziri mkuu alikuwa Sumaye .

- Kashfa ya sukari alikuwa ni Lowasa? Waziri mkuu alikuwa Sumaye.

- Kashfa ya Loliondo gate 1992 ya mtoto wa mfalme wa Kuwait alikuwa ni Lowassa? Kinana na Abubakar Mgumia walihusika.

- Wanyama hai kutoroshwa nje ya nchi alikuwa Lowassa? Waziri mkuu Pinda.

- EPA aliyeidhinisha fedha zichukuliwe alikuwa Lowassa? Mkapa na Mangula wanajua.

- NBC Bank kuuzwa alikuwa Lowasa? Mkapa na Sumaye wanahusika.

- Kiwira alikuwa Lowassa? Mkapa na Sumaye wanahusika.

- Rada na ndege ya rais alikuwa Lowassa? Mkapa, Chenge na Dr. Rashid walihusika.

- Mkataba wa Buzwagi alikuwa Lowassa? Karamagi,Kikwete na Mwakapugi walihusika.

- Stimulus package ya wakulima wa pamba baada ya Mdororo wa uchumi duniani alikuwa Lowassa? Kigwangala na Kikwete wanajua.

- Fedha za Bunge la Katiba zilizobaki baada ya UKAWA kususia Bunge hilo bilioni 3.87 alizichukuwa Lowasa? Sitta, Samia suluhu wanahusika.

-Bilioni 250 zilizolipwa wakandarasi hewa wa ujenzi wa barabara alikuwa Lowassa? Magufuri na Tizeba wanahusika.

- TTCL Kuuzwa kwa bei ya kutupa kwa Celtel alikuwa ni Lowassa? Mwandosya analo jibu.

- Mabehewa mitumba zilizonunuliwa alikuwa ni Lowassa? Mwakyembe anahusika.

- Kashfa za pembejeo za wakulima alikuwa ni Lowassa? Wassira na Pinda wanahusika.

- Fedha za Gadaffi alikuwa ni Lowassa? Alikuwa ni Membe.

- Ununuzi wa nyumba ya Ubalozi wa Tanzania Italia alikuwa ni Lowassa? Kikwete na Mahalu wanahusika.

- Escrow tegeta account alikuwa ni Lowassa? Kikwete, Muhongo, Maswi, Albert Marwa wanahusika

- Mradi wa malaria no more alikuwa ni Lowassa? January Makamba mhusika. Tanzania hii Tatizo ni CCM

Mhhhh akipenda chongo huita kengeza
 
Hahahahaaaaa!!!!!

Naona mmeanza kimkakati zaid. Jambo la msingi hapa nikwamba, LOWASA NAYE ALIIBA! Bhaaas! Habar nyingine hatutaki hapa. Tena kaiba mno maybe kuliko hata wengine unaowasema hao.

Tupilia mbali kabisa Fisadi huyu

Mkuu kwa list hiyo mwizi mtamu hapo ni jk
 
Watu wengi wataishangaa kauli yangu, watakaa midomo wazi na kujiuliza maswali kibao moja ya maswali watakayojiuliza ni kama yafuatayo.

Anasema EL ni msafi wakati alithubutu kumuita Fisadi?

Usafi wake uko wapi au kwa kuwa kahamia Chadema?

Huyu anayesema haya ni mamluki au Chadema kweli?

Hayo ni baadhi tu ya maswali japo najua kuna maswali mengine mengi zaidi juu ya mh EL.

Wanapoendelea kujiuliza ni vyema na mm niwaulize maswali kadhaa kama ifuatavyo?

Kama EL ni mwizi au fisadi ni kwanini hadi leo hajakamatwa na kupelekwa Mahakamani?

Je hajakamatwa kwakuwa serikali ni dhaifu au haijui sheria inazosimamia yenyewe au iliogopa kuumbuliwa zaidi?

Toka 2008 hadi leo nini kimefanyika baada ya EL kwa kulinda heshima yake na kuamua kujiweka pembeni?

Tunadhani ni kwanini jina lake liliishia njiani? papo hapo jiulize kwanini Rizone alitweete akionesha hayupo tayari kuona Rais akitokea kaskazini kipindi cha Uhai wake?

Je ni kwanini Rais JK hajawahi kuthubutu kumsema EL hadharani?

Je ni kwanini Upinzani walimpiga sana mitandaoni na hata majukwaani lakini leo wapo meza moja?

Ni kwanini CCM walimuamini tena 2010 akapeperusha Bendera yao jimbo la Monduli? utamuaminije Mwizi?

Je ni nchi gani upinzani ilishawahi kuing'oa serikali bila kutumia watu waliokuwepo au waliopo Madarakani?

Je tunapenda kuendelea kuwa masikin kwa mfumo uliopo?

Bado nina maswali ambayo sitayamaliza sasa hivi ila endelea na ww kujihoji na kujipa majibu huku ukiangazia mfumo mzima wa chama cha mapinduzi na serikali yake ndipo utapata majibu.

Narudia kusema "EL si Mchafu hata kidogo" lakini katika yote Mfumo wa CCM ndio mchafu na ndio unaowafanya wachafuke hata wasio wachafu, yawezekana kabisa msielewe dhana yangu lakini pia mkanielewa dhana yangu.

Mimi kama mwanachama wa chadema sipo tayari kuendelea kuitwa mpinzani lakini nipo tayari kuona nchi hii ikiwa upinzani kwa masilahi mapana ya watz wote.

Nitaeleza kwa kina nikitulia sehemu yenye upepo mwanana

usitumie nguvu nyingi sana kueleza maana hawaelewi ila pale october ndo tutajiwa lowassa ndo.

Mwisho: lazima mnyooke maana hakuna namna
 
Ndugu yangu SHEMGUNGA jibu hoja, kwa hoja sema 'document inayowahusisha moja kwa moja Mawaziri waliotajwa iko wapi ' ili turejee. Unaposema huwezi kuongelea swala la Richmond ukamuacha kikwete, sema pia ushahidi uko wapi. Kusema bila ushahidi hujibu hoja ni maongezi ya kijiweni kwa mateja. Hapa ni Great Thinkers.
Tetea ni kwa nini tumng'anganie Lowasa ilhali wengi wapo. Eleza unishawishi siyo kusema nafikiri kwa kutumia miguu wakati kiukweli wewe ndiye huna hoja na wala hujui kama huna hoja tena hata ukifumbuliwa macho wala hufumbui unabaki umefumba. Walijiuzuru ni wengi, eleza ni kwa nini Lowasa ameonewa ila wengine hawakuonewa na ueleze kwa nini aonewe yeye na sio wengine. Tunaposema ana mali zisizoelezeka chanzo chake (Mwal. Nyerere 1995), eleza kama hana au ueleze alivyozipata vinginevyo usijadili na mimi siyo size yako
kweli binadamu hutumia miguu kufikir Leo hii huwezi kuongelea swala la Richmond ukamuacha kikwete huu utakuwa akil kidogo hamna

lazima tujitazame Mara mbili kwa nn lowasa? kwa namna hii haina budi kumkubali lowasa kwa nn kama mna uhakika msiende mahakaman?

kama rais wetu kashindwa kuzitolea ufafanuz ww utaweza??

chengine hivi kama ww n mwaadilifu ukikaa kwenye kind lisilo ba uadilifu utakuwa wa namna gan??

na kama ww s mwaadilifu ukikaa kwenye kund la mwaadilifu utakuwa wa namna gani?????

tuache unafiki tusiongelee polojo
 
Suala la kupelekwa Kisutu aka Mahakamani ni la pande zote. Lowasa naye kama anaona nachafuliwa jina kwa kuitwa fisadi wakati siyo kweli anaweza kupele shauri mahakamani kudai kuchafuliwa jina. Kwa nini hapeleki? Wanaomsema ni fisadi wako wengi na ushahidi anao, kwa nini hapeleki
Jamani mnisafishie na mentor wangu Chenge.

Tatizo ni mfumo!! Kama fisado Mbona hapelekwi kisutu?
 
watanzania tunataka kutokomeza haya maana ndiyo yanaleta umasikini.

yupo mtu juzi alisema fedha ya serikali inayopotea kupitia matundu mbalimbali ni kama trilioni sita kwa mwaka, hivi hizo trilioni sita zikiwekwa kwenye miradi ya maendeleo hivi tungekuwa wapi? umasikini wetu unatoka huko na hiyo ndio njia pekee ya kuondoa umasikini.

tatizo langu sijakuelewa wewe una msimamo gani juu ya haya?

tunachotaka ni tiba ya haya na tunatakiwa kuelekeza siasa zetu katika kuwatumikia wananchi.

hapa tuwe makini na watu wanaoweza kufunika mambo haya yasiongelewe popote walipo iwe ni tawala au upinzani maana hawa yawezekana ni wale ambao wameingia kwenye siasa kuchuma na wamekwisha wekeza na mianya hiyo ikizibwa wanaona siasa hazilipi ni bora kutokufanya siasa.

tusikilize wale tu wanaoleta suluhisho la matatizo yetu na maadui wa maendeleo yetu ni wale wanaotafuta kuhalalisha kunyonywa kwetu.

Hivi ni Lowassa pekee ndiye fisadi ndani ya CCM?

- Je, wakati fedha za Mkonge kupitia mfanyabiashara aitwaye CHAVDA zinaibiwa
Lowassa alikuwa waziri mkuu? Alikuwa malecela!.

- Madini ya dhahabu yaliyokamatwa uwanja wa ndege wakati wa Rais Mwinyi yalikuwa ni madini ya
Lowassa?

- Wakati Akasha wa dawa za kulevya anakamatwa na kutoroshwa aliyehusika ni
Lowassa? Waziri Mkuu alikuwa Malecela.

- Mrema alipolipua bomu la mwenyekiti wa CCM kuhongwa milioni 900 za minofu ya samaki alikuwa ni Lowassa? Waziri mkuu alikuwa Sumaye .

- Kashfa ya sukari alikuwa ni Lowasa?
Waziri mkuu alikuwa Sumaye.

-
Kashfa ya Loliondo gate 1992 ya mtoto wa mfalme wa Kuwait alikuwa ni Lowassa? Kinana na Abubakar Mgumia walihusika.

- Wanyama hai kutoroshwa nje ya nchi alikuwa Lowassa? Waziri mkuu Pinda.

- EPA aliyeidhinisha fedha zichukuliwe alikuwa Lowassa? Mkapa na Mangula wanajua.

- NBC Bank kuuzwa alikuwa Lowasa? Mkapa na Sumaye wanahusika.

- Kiwira alikuwa Lowassa? Mkapa na Sumaye wanahusika.

- Rada na ndege ya rais alikuwa Lowassa? Mkapa,chenge na Dr. Rashid walihusika.

- Mkataba wa Buzwagi alikuwa Lowassa? Karamagi,Kikwete na Mwakapugi walihusika.

- Stimulus package ya wakulima wa pamba baada ya Mdororo wa uchumi duniani alikuwa Lowassa? Kigwangala na Kikwete wanajua.

- Fedha za Bunge la Katiba zilizobaki baada ya UKAWA kususia Bunge hilo bilioni 3.87 alizichukuwa Lowasa? Sitta,Samia suluhu wanahusika.

Bilioni 250 zilizolipwa wakandarasi hewa wa ujenzi wa barabara alikuwa Lowassa? Magufuri na Tizeba wanahusika.

- TTCL Kuuzwa kwa bei ya kutupa kwa Celtel alikuwa ni Lowassa? Mwandosya analo jibu.

- Mabehewa mitumba zilizonunuliwa alikuwa ni Lowassa? Mwakyembe anahusika.

- Kashfa za pembejeo za wakulima alikuwa ni Lowassa? Wassira na Pinda wanahusika.

- Fedha za Gadaffi alikuwa ni Lowassa? Alikuwa ni Membe.

- Ununuzi wa nyumba ya Ubalozi wa Tanzania Italia alikuwa ni Lowassa? Kikwete na Mahalu wanahusika.

- Escrow tegeta account alikuwa ni Lowassa? Kikwete,Muhongo,Maswi,Albert Marwa wanahusika.

- Mradi wa malaria no more alikuwa ni Lowassa? January Makamba mhusika.

NIENDELEE AU?
 
Mkuu,Watu wapuuzi mno! Na hakuna namna nyingine unayoweza kuliita tendo hilo zaid ya NJAA.

Kwa njaa zao, wanaamua maksudi kabisa kujitoa ufahamu juu ya Wizi wa Mshenzi huyu.

Tumuogope Mungu jamani.

Unamwita mtu mshenzi,ni jinsi gani wewe ulivyo-taahira,ujitambui,weka tuuma zake hapa acha kunywa viroba asubuhi
 
Kweli tunahisi LOwassa naye ni mwizi kwa kuwa ametoka katikati ya wezi. Vipi Magufuli aliyeiba pia na bado yupo katikati ya majambazi na sasa wanamteua aongoze jopo hilo la gege la wezi?

Watanzania tuna wakati mugumu kweli kweli wa kuamua!!!
 
Naona CCM wameweka beneficiaries wa escrow ili wawasaidie kuchakachua
 
Nyie watu wa lowassa maana hata sio ukawa inavyoonekana sikilizeni. Watanzania sio wajinga mpaka mtake tuone wizi ni kitu kizuri simply eti kuna wengi wameiba. Hao mnaowataja kuiba mnasikia wangombea. Unakuwa na akili kweli kama unatueleza mambo ya malecela ambaye anasubiri siku zake atoke duniani?

Tunataka tanzania mpya ambayo itajengwa tu na watu waadilifu. Lowassa alishaiba kwisha hatumtaki. Kwani watanzania wote wezi? Chadema wamekosa upeo wa kutafuta mtu mzuri wa kuwaongoza mpaka wamkubali mtu mwizi anayetajwa kila kona. Kwa nini mpate kazi ya kumuosha mtu wakati kuna wengi tu wasafi. Utasemaje lowassa safi eti kwasababu kuna wengine nao wameiba? Ni akili kweli hiyo???

Achane mambo hayo.
 
Lowassa hajitetei ninyi ndio mnaotaka kulazimisha kumbe mwizi ni kikwete

mbona aliwaambia kuwa siyo yeye ni kikwete kwani hamjamuhoji kikwete? Mwizi ni kikwete
 
Ndugu yangu SHEMGUNGA jibu hoja, kwa hoja sema 'document inayowahusisha moja kwa moja Mawaziri waliotajwa iko wapi ' ili turejee. Unaposema huwezi kuongelea swala la Richmond ukamuacha kikwete, sema pia ushahidi uko wapi. Kusema bila ushahidi hujibu hoja ni maongezi ya kijiweni kwa mateja. Hapa ni Great Thinkers.
Tetea ni kwa nini tumng'anganie Lowasa ilhali wengi wapo. Eleza unishawishi siyo kusema nafikiri kwa kutumia miguu wakati kiukweli wewe ndiye huna hoja na wala hujui kama huna hoja tena hata ukifumbuliwa macho wala hufumbui unabaki umefumba. Walijiuzuru ni wengi, eleza ni kwa nini Lowasa ameonewa ila wengine hawakuonewa na ueleze kwa nini aonewe yeye na sio wengine. Tunaposema ana mali zisizoelezeka chanzo chake (Mwal. Nyerere 1995), eleza kama hana au ueleze alivyozipata vinginevyo usijadili na mimi siyo size yako

Dr Mwakyembe kwa mdomo wake, alisema kuna mengine ameyaacha ili serikali isisambaratike, na kwa hilo japo halikuwa jambo jema kwa wapenda haki, ila busara ilimuongoza Mwenyekiti Dr Mwakyembe, sawa na busara aliyotumia Lowassa ili nchi isiyumbe, ni ukweli huu ambao wewe unajua lakini unajitoa ufahamu. Hongera Dr Mwakyembe kwa kutuepushia gharama za uchaguzi, hongera Lowassa kwa busara uliyoifanya.

Naamini kama Lowassa na Mwakyembe wasingetumia busara kila mmoja katika majukumu yake, ILE kitu inaitwa kukosa IMANI na Utawala kingeweza kutokea na kwa hakika isingekuwa tija kubwa kwetu!
 
Sera ndo nini mtaani tunachojua ccm itoke.sera someni nyie na SIDANGANYIKI

Nakubaliana na wewe. Sera! Sera! Sera! tukubaliane kuwa hata kama kuna atakayekuja na sera nzuri namna gani, la muhimu kwa watanzania leo ni mabadiliko. Hata kama CCM ina mgombea urais anaeweza kuwa tofauti kiutendaji na waliopita, tumeichoka CCM.
 
Nimefanya tafakuri isiyo na kiburi kwa muda sasa. Tangu mwaka 2008,nafuatilia nyendo za chama kumlinda,kumsemea na hata kumuumbua Edward Lowassa ambaye alihusishwa na kashfa ya Richmond. Edward Lowassa aliachia ngazi/alijiuzulu uwaziri mkuu wa Tanzania kwa shinikizo la Bunge akihusishwa na kashfa hiyo ya Richmond. Akajiweka pembeni hadi alipoibuka kwenye mbio za Urais mwaka huu.

Ilisemwa kuwa alipokuwa ndani ya CCM yetu,CCM alikuwa ikimlinda na hata isimpeleke Mahakamani kuyakabili makosa ya kifisadi kama akina Daniel Yona, Basil Mramba na Grey Mgonja. Ukatajwa urafiki wake na Rais Kikwete na ngazi ya kiuongozi aliyoifikia-ya Waziri Mkuu kuwa ni kikwazo. Lowassa akasemwa kuwa analindwa na chama na serikali. Kila akichokozwa na kusemwa,Lowassa alibaki kimya.

Mwaka huu,baada ya kukatwa jina lake CCM, Lowassa alihamia CHADEMA. Huko amesimamishwa kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Sasa Lowassa ni mpinzani na hana tena ule ulinzi wa CCM na serikali yake. Yaani,angeweza sasa kuumbuliwa kwa nyaraka na hata santuri juu ya Richmond kwakuwa amechagua upande mwingine. Au hata kuburuzwa Mahakamani.

Yote hayo tisa,kumi ni pale Jangwani katika ufunguzi wa kampeni za CCM. Ilitegemewa kuwa Lowassa angelipuliwa kwa nyaraka na ushahidi mwingine kwa ufisadi wake wa Richmond na mwingine wowote uwao. Mwenyekiti Kikwete aliishia kusema kuwa Lowassa ana mali zenye mashaka. Alisema kuwa Lowassa ana makandokando. Lakini,hakuyataja wala kupambanua. Jangwani ulikuwa uwanja wa wazi na wa kujidai kumlipua Lowassa. Haikuwa hivyo.

Sasa naamini kuwa Lowassa hakuhusika, kwa namna na ya kufaidika, na kashfa ya Richmond na hata nyingine yoyote. Ingawa, bado simuoni kama Rais bora kwa Tanzania ijayo. Simuungi mkono. CCM inahofu nini kumlipua Lowassa ili wananchi wauone ufisadi wa Lowassa sasa?? Hakuna atakayeamini tena,baada ya kunyamaza Jangwani,kuwa Lowassa ni fisadi!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Tena nilitaka kuja pm kwako, kuhoji ukimya wako kuhusu upumbavu na ulofa wetu! haya usisahau kutia ndimu kwenye kauli ya ben!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom