Danken Mbombo
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 651
- 339
.si rahisi kuwalinganisha makongoro na riz 1, sababu ktk utawala wa baba riz 1 vyombo vya habari vipo huru, hata ukijikwaa kidogo ukasema naunga "mkonyo' badala ya "mkono" wanaandika. Lakini enzi ya utawala wa baba kongoro vyombo vya habari vilidhibitiwa. Kama alikwiba mpunga na kuchoma BOT, kama aliuza mgodi wa almasi-mwadui, almasi ilichimbwa tukabaki masikini, kama alitoa tenda ya kuagiza magari ya serikali kwa shemeji yake, kama alikuwa anamiliki pesa nyingi kwenye akaunti zake za ulaya, isingekuwa rahisi kuujua ukweli. Wapo mafissadi wanaojificha riz 1 anasiingiziwa..