KICHAKA
Member
- Jun 17, 2009
- 58
- 9
Duuh! kwa jinsi ulivyoandika wewe kama sio msaidizi wa Waziri basi ni bahati kubwa..maana kuna kila dalili. Basi foreign naona mme improve siku hizi kuna watu wanapita pita mpaka JF kunusa uzushi. Honbe BM.
Kingwele
Mkuu kweli kabisa huyu ni Hassy Mwambene mtu wa Membe yupo kazini kutetea bosi wake apate urais 2015. Na kujitokeza kwake haraka kunaonyesha hoja hii inafukuta jambo.