TUWEKANE BAYANA
Member
- Mar 10, 2011
- 45
- 0
Hii si nchi hii.. Kote kumeoza!
siwaachi hata kidogo maana inauma sana kama sasa hali iko hivi Membe naona ana vijana tayari ametangaza 2015 hapo juu
hakuna cha hoja hapa naona mmeanza kudanganya umma kwa kudhani watu hawajui hapa MFAIC kuna nini, yaani fedha zetu na muda wa umma ndio mnatumia kujisafisha hapa. Tunataka ifahamike wazi kuwa CDM tunatazama sana wizi ama matumizi ya fedha za umma kusakia madaraka. Subiri Dk wa ukweli ashike nchi ndio mtasema hiyo uwekezaji wa maputo mmekula ngapi