Ufalme unaojifitini lazima utaanguka. Umeme ni eneo ambalo serikali inajifitini

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,755
Tazama hii video uone jinsi ambavyo seeikali ya CCM inavyolihujumu Taifa.



Najiuliza, TRA wanapata wapi ujasiri kudai kodi kwa wajasiriamali wanaopigwa hasara na serikali kwa kukosa umeme wa uhakika?

Nchi haiendeshwi namna hii. Tunapaswa kuiwajibisha CCM haijawahi kuleta unafuu zaidi ya maigizo ya majukwaani.
 
Back
Top Bottom