Ufahamu mtindo wa nywele wa Amasunzu ulitumika kubainisha kuwa single kwa vijana

Hearten

Member
May 17, 2016
46
54
Huu ni mtindo uliojizolea umaarufu nchini Rwanda kwa miaka mingi iliyopita. Muonekano wake ni kama ilivyo katika picha


Mtindo huu ulianzishwa na Wanaume lakini baadaye Wanawake waliupenda na kuanza kutumia


Licha ya kupendezesha kichwa na kuleta muonekano wa kipekee lakini pia ulitumika kuwatambulisha vijana wasio na wapenzi

 
Sidhani kama huo mtindo ulikuwa unatumika kutambulisha wasio na wapenzi. Ila ni automatic tu ukinyoa hivyo unakosa mpenzi. Na ikitokea umepata mpenzi hatoruhusu uendelee na style hiyo.
 
chini umevaa pekosi na viatu venye soli kama stuli,mambo powaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…