KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,204
- 56,832
nyota huonekana usiku kwasababu mwanga wa jua unakuwa haupo ambapo mwanga huo wa jua unapokuwepo hukinga/huzidi mianga myengine ya nyota hivyo hufanya kutokuonekana kwa nyota ambazo zenyewe hutoa mwanga hafifu kutokana na kuwepo mbali.Na kwann huwa zinaonekana usiku??