Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
sasa kama chadema wanakuza demokrasia, kwa nini mlalamike kushindwa wakati baadhi ya kura mmejipunguzia wenyewe kwa kutimua madiwani....mimi naamini sababu ilikua moja tu... "Chadema tumeshindwa uchaguzi sababu ya mgogoro na baadhi ya madiwani wetu" hizo zingine mbwembwe tu.
Bado hujamuelewa mtoa mada pointi yake. Anasema CDM haiwezi kulea mafisadi kwa kisingizio cha kutaka umeya. na hapo hapo CDM yataka haki na utaratibu uliowekwa ufuatwe katika chaguzi, hata kama kitashindwa!
Kweli CCM mna vichwa vya nazi!