MAWAZO JUNIOR
Member
- Jul 22, 2012
- 47
- 3
manispaa nayo huwa inachagua meyA
. umesahau hata jerry slaa ni meya wa ilala
mkuuu usimshangae huyo ni aina ya wanachama wa magamba waliopo hivi sasa,hajui hata meya anaongoza manispaa wakati jerry slaa wanamwita mstahiki meya kwa kuongoza manispaa ya ilala,halafu eti naye anajiita GREAT THINKER mh ama kweli nyinyiem inachangia kufifisha ubongo wa wanachama wake na kuwapunguzia uwezo wa kufikiri.