Good People JF-Expert Member Aug 6, 2016 945 1,817 Dec 16, 2016 #1 Inamaana hizi ziko sawa? au na wenyewe wako mahabusu? Kwa sababu zote zina .com [HASHTAG]#freemaxcencemello[/HASHTAG]
Inamaana hizi ziko sawa? au na wenyewe wako mahabusu? Kwa sababu zote zina .com [HASHTAG]#freemaxcencemello[/HASHTAG]
Good People JF-Expert Member Aug 6, 2016 945 1,817 Dec 16, 2016 Thread starter #3 [HASHTAG]#freemaxcencemello[/HASHTAG]
fakalava JF-Expert Member Jul 16, 2015 4,459 6,025 Dec 16, 2016 #5 The home of great thinkers, Where we dare to talk openly.
S Salary Slip JF-Expert Member Apr 3, 2012 47,020 144,377 Dec 16, 2016 #7 Watashindana lakini hawatashinda.
technically JF-Expert Member Jul 3, 2016 11,975 48,843 Dec 16, 2016 #8 Haaaah wameingia king kweli hawa jamaa.... Yaani nawaonea hadi huruma mawakili wa Serikali.... Kazi yao kuburuzwa tu hakika kuna Kazi sana ...... Sijui walisoma wapi? Vilaza namna hii....
Haaaah wameingia king kweli hawa jamaa.... Yaani nawaonea hadi huruma mawakili wa Serikali.... Kazi yao kuburuzwa tu hakika kuna Kazi sana ...... Sijui walisoma wapi? Vilaza namna hii....
F Farudume JF-Expert Member Jan 10, 2013 3,946 3,685 Dec 16, 2016 #9 Kama sheria ipo bila shaka ndio wameanza kuitekeleza.
P Pohamba JF-Expert Member Jun 2, 2015 27,639 61,068 Dec 16, 2016 #10 Jamiiforums inapita kipindi kigumu sana tangu Kuanzishwa kwake! Tuiombee!
MUSSA ALLAN JF-Expert Member Oct 13, 2013 18,925 13,259 Dec 16, 2016 #11 Hii nchi imefikia pabaya. [HASHTAG]#freemaxencemello[/HASHTAG]
FaizaFoxy Platinum Member Apr 13, 2011 92,883 109,212 Dec 16, 2016 #12 Wengine huwa wanaenda shule za kusomea ujinga.
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,634 697,914 Dec 16, 2016 #13 Kumbe wengi wetu tukiamua kushtakiwa watakaobaki ni wachache mno
F Farudume JF-Expert Member Jan 10, 2013 3,946 3,685 Dec 16, 2016 #17 Kimsingi kama sheria haina maslahi kwa wananchi waliowengi ni jukumu la wananchi wenyewe kuipinga kupitia taratibu tulizojiwekea badala ya kusubiri madhara yatokee kama hivi. Lazima watu tuamke na kujitambua badala ya kulalamikia utekelezaji wake.
Kimsingi kama sheria haina maslahi kwa wananchi waliowengi ni jukumu la wananchi wenyewe kuipinga kupitia taratibu tulizojiwekea badala ya kusubiri madhara yatokee kama hivi. Lazima watu tuamke na kujitambua badala ya kulalamikia utekelezaji wake.
bowlibo JF-Expert Member Dec 10, 2011 3,206 2,899 Dec 16, 2016 #18 halafu kuna watu wanasema nchi hii itapiga hatua kimaendeleo na ujinga uliojaa elimu elimu elimu
saimon111 JF-Expert Member Apr 5, 2012 1,736 1,352 Dec 16, 2016 #20 Hivi hii serikali huwa kuna washauri kweli