kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,856
- 7,005
Yahoo.com, gmail.com, hotmail.com
Hiyo haimilikiwi na Mtanzania aliyeko Tanzania....maybe...
Wengine huwa wanaenda shule za kusomea ujinga.
mkuu wamesoma sana, lakini unawezakuta wameambiwa wafanye hivyo, na hiyo ni taasisi ya serikali sio private law firm. hao jamaa wanapata shida sana kwasababu wakati mwingine professionalism haitumiki ila kutii amri.Haaaah wameingia king kweli hawa jamaa....
Yaani nawaonea hadi huruma mawakili wa Serikali....
Kazi yao kuburuzwa tu hakika kuna Kazi sana ......
Sijui walisoma wapi? Vilaza namna hii....
Kwa hiyo kumiliki tovuti ambayo haijasajiliwa Tanzania ni kosa na kutumia tovuti au mtandao ambao haujasajiliwa Tanzania nalo ni kosa?Inatumiwa na watanzania labda kupita JF...
Umeona eeh?Kumbe wengi wetu tukiamua kushtakiwa watakaobaki ni wachache mno
Kwa hiyo kumiliki tovuti ambayo haijasajiliwa Tanzania ni kosa na kutumia tovuti au mtandao ambao haujasajiliwa Tanzania nalo ni kosa?
Kama sijakosea Magu naye ana akaunti ya Twitter, siyo?
CCM nao wana akaunti ya Twitter, sio?
wanapo amua kufanya mambo yao wanatafuta kisingizio tu na kutoa hukumu habari ya sheria utabaki nayo kwenyewe mpira refa uwanja vyote vyakwao utatokea wapiHaaaah wameingia king kweli hawa jamaa....
Yaani nawaonea hadi huruma mawakili wa Serikali....
Kazi yao kuburuzwa tu hakika kuna Kazi sana ......
Sijui walisoma wapi? Vilaza namna hii....
Ha ha ha ha...Katibu Mkuu Kinana ataingia matatani hapaTeh teh...
Hata ya CCM ni dotCOM