UEFA Champions League, Special Thread

UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.
Arsenal inasaidiwa kwa kila jambo....lakini haisadikiki

Shem kumbe na huku upo? Kuna jamaa alisema unapenda threads za umbeya na mambo ya Zeutamu wanaziita "Yo Yo effecto"
 
...tatizo nilionalo kwa Manure ni hizo safari za ushenzini,...

Moscow na uturuki ni miji mibaya sana, game ngumu sana kwao hizo za ugenini.

Arsenal angalau tunaweza kwa mbaaali kuchungulia Quarters finals hata kipyenga hakijapulizwa...

fingerz crossed tusikutane na Chelsea au Liverpool kwenye Quarters au Semis,...

Nawatamani Barcelona, Real Madrid au Inter Milan tuwafunze adabu!
All in all, Goodluck kwa MAN U, CHELSEA, LIVERPOOL na Ze GUNNERS wote...

CL bila top (four) English Clubs haijanoga bado!
 
...tatizo nilionalo kwa Manure ni hizo safari za ushenzini,...

Moscow na uturuki ni miji mibaya sana, game ngumu sana kwao hizo za ugenini.

Arsenal angalau tunaweza kwa mbaaali kuchungulia Quarters finals hata kipyenga hakijapulizwa...

fingerz crossed tusikutane na Chelsea au Liverpool kwenye Quarters au Semis,...

Nawatamani Barcelona, Real Madrid au Inter Milan tuwafunze adabu!
All in all, Goodluck kwa MAN U, CHELSEA, LIVERPOOL na Ze GUNNERS wote...

CL bila top (four) English Clubs haijanoga bado!

Hahaha mkuu uko Uturuki na mapyrotechnics yao ni noma uwanja unanuka harufu ya baruti mwanzo hadi mwisho. Liverpool wanawajua hawa waungwana.
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=xmbrvV3Y1hU[/ame]
 
duuh nilisahau kwamba ibrahimovic nae anaenda kumshambulia mourhino nae.hii barcelona vs inter = etoo vs ibrahimovic .
 
duuh nilisahau kwamba ibrahimovic nae anaenda kumshambulia mourhino nae.hii barcelona vs inter = etoo vs ibrahimovic .

Ni kweli hii itakuwa imetulia zaidi ila hatujapata kundi la kifo kama vile ambavyo tungependa.
Vigogo wamepagwa na timu ndogo sijasema vibonde!
 
...No, mwezi May tayari theluji ishasahaulika huko. Hizi games zitakuwa miezi ya winter mpwa... wana kaaaaaazi kweli kweli kina Belo na Eqlypz mwaka huu...!
Mi nasubiria kuona tutapangwa na nani hatua ya mtoano ,huku sina presha kabisaaa
 
Waungwana mambo ndio yanaanza leo masaa machache kutoka sasa. Vipi waingereza wataingiza timu nyingine kwenye fainali msimu huu?
champsstart-TOP.jpg
 
Asernal and their fans are very funny...msubirie vichapo tu! hata kama mumezoea
 
thats a wish more than reality if u real mean arsenal fc.

nasikia arsenal wanajiita VETA siku hizi, kutengeneza wachezaji chipukizi kwa ajili ya timu zingine wakati wao wakivurunda kila siku na kuendelea kusubiri "msimu ujao"
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom