wataliano naona tuna magroup mazuri tu so far
ac pamoja na ajax na bacelona
juve pamoja na madrid na galatasaray
cc: gang chomba, juve2012, viper
mkuu madrid anakaa chini.... Hilo halisumbui hata kidogo
Mshabiki wa Man Utd nini? Mie nadhani Makundi makali ni B, F na H Mkuu
Mmh!hivi dar kuna baridi?Chomba nahisi kale kahoma kangu ka baridi kamerudi hasa baada ya kusoma hii thread.dah,mourinho kazi tunayo,Madrid hii sio ile anayoota Viper.ila group A nunueni nunueni panadol,group F wale jamaa zangu wanunue cofta,unajua mtu akilia sana hushikwa na mafua.mkuu Chomba,umewahi kushikwa na tumbo la kuhara damu?tafuta flagil ziwe mfukoni!