Kalumbesa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,013
- 356
Mpira hauko hivyo mkuu, kila game inakua approached kwa namna yake.
Madrid wapo below form hilo halina ubishi ndugu, ni advantage city today! Baada ya ku draw na Valencia nyumbani walienda away kwa Getafe(hawa ni visiki kama Stoke City ndio walimchapa hata Barca nyumbani kwao last season) Madrid akala kichapo cha 2-1 waliporudi home wakacheza na vibonde Granada wakashinda 3-0 ikaja mechi ngumu na Sevilla na wao walijua mechi hii ni ngumu japo msimu uliopita waliifunga Sevilla 6-1 hapo hapo kwao,matokeo ni kwamba hadi dakika 90 zinaisha walikuwa wamekalia msumari mmoja!