Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Wangebadili hapo,,,,,,,kuwa yajayo yanasikitishaacha ninukuu kutoka vodacom "yajayo yanafurahisha"
Wangebadili hapo,,,,,,,kuwa yajayo yanasikitishaacha ninukuu kutoka vodacom "yajayo yanafurahisha"
Yanahudhunisha=yanahuzunisha.Yajayo yanahudhunisha sana aisee khaa.......... mungu gtupe uvumilivu
enzi zetu "Mzee Punch" angefanya vitu vyake afu kesho revolutionary square pangechimbika!!Taarifa zilizopo kwa watumishi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na wanafunzi wa chuo hicho ni kuwa limetolewa "agizo kutoka juu" kuwa matokeo ya uchaguzi wa rais wa serikali ya wanafunzi yafutwe kwasababu mgombea aliyeshinda "ni mtu hatari"
Katika kutekeleza jambo hilo, tayari zoezi la kumuapisha Nhonya Haroun Stanley limesitishwa, kwa maelekezo ya Dean of students.
Taarifa kutoka kwa mmoja wa watumishi wa chuo hicho zinadai kuwa, uchaguzi huo umeagizwa ufutwe na viongozi waandamizi wa chama tawala Mara baada ya wagombea Frank Isack na Matulanya Evarist waliokuwa wakiungwa mkono na Haroun Stanley aliyetajwa kuungwa mkono na wanafunzi wapenda mabadiliko.
Mmoja kati ya wagombea hao wawili wanaodaiwa kuwa walikuwa wakiungwa mkono na CCM amedaiwa kusambaza taarifa kwa marafiki zake kuwa waliagizwa na viongozi wa chama chao kuwa waandike "barua ya kukata rufaa na kuielekeza kwa DVC administration kupinga matokeo ya uchaguzi, ili uongozi wa chuo utoe kisingizio kuwa umepokea malalamiko na kufuta uchaguzi."
Tayari pia mchakato wa uchaguzi wa Spika na naibu Spika umesitishwa na uongozi wa UDSM.
Dogo..soma,achana na siasaWakitaka kututibua basi wafanye hicho kitu
Kulazimisha kuongoza huku hamtakiwi ni jambo la aibu sana
kwani Shule za Kata ndo umezizalau we bwege nini!Udsm ya leo haina tofauti na shule ya kata!
hapo UDSM SIKU izi pamejaa ujinga ujinga tu. kwani rev .squre mlishaua? nendeni mkutane hapo mliamzishe. enzi zile mzee luhanga methiew alikuwa anakimbia nyimbo tuTaarifa zilizopo kwa watumishi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na wanafunzi wa chuo hicho ni kuwa limetolewa "agizo kutoka juu" kuwa matokeo ya uchaguzi wa rais wa serikali ya wanafunzi yafutwe kwasababu mgombea aliyeshinda "ni mtu hatari"
Katika kutekeleza jambo hilo, tayari zoezi la kumuapisha Nhonya Haroun Stanley limesitishwa, kwa maelekezo ya Dean of students.
Taarifa kutoka kwa mmoja wa watumishi wa chuo hicho zinadai kuwa, uchaguzi huo umeagizwa ufutwe na viongozi waandamizi wa chama tawala Mara baada ya wagombea Frank Isack na Matulanya Evarist waliokuwa wakiungwa mkono na Haroun Stanley aliyetajwa kuungwa mkono na wanafunzi wapenda mabadiliko.
Mmoja kati ya wagombea hao wawili wanaodaiwa kuwa walikuwa wakiungwa mkono na CCM amedaiwa kusambaza taarifa kwa marafiki zake kuwa waliagizwa na viongozi wa chama chao kuwa waandike "barua ya kukata rufaa na kuielekeza kwa DVC administration kupinga matokeo ya uchaguzi, ili uongozi wa chuo utoe kisingizio kuwa umepokea malalamiko na kufuta uchaguzi."
Tayari pia mchakato wa uchaguzi wa Spika na naibu Spika umesitishwa na uongozi wa UDSM.
taa nyekundu za hatari hizo mkuuSiyo la aibu tu ni la hatari kubwa sana.
Mbwiga kufananisha vitu siyo kuvidharau kama ambavyo akili yako ina kata kata!kwani Shule za Kata ndo umezizalau we bwege nini!
Kwani Heslb ni ya Baba yako pekee yako?Waende wakawasaidie wazazi wao kulima vijijini huko..watu wenyewe wameletwa mjini na heslb
Kwa hiyo wanafunzi wasiwe na serikali yao?Vijana wajikite kwenye Masomo
Miaka Mitatu Au minne Ni michache sana,
Siasa za Daruso zisiwatoe kwenye Msingi wa kilichowapeleka
acha dharau weweWaende wakawasaidie wazazi wao kulima vijijini huko..watu wenyewe wameletwa mjini na heslb
kuna DHARAU, ZARAU na ZALAU we fala umeleta zalau kwa kufananisha udsm na Shule zetu, mkiwa humu jf mnajikuta mnaakilii papuchi za mama zenu!Mbwiga kufananisha vitu siyo kuvidharau kama ambavyo akili yako ina kata kata!
Miaka ya nyuma serikali ya wanafunzi haikwepo na na je hawakusoma?Vijana wajikite kwenye Masomo
Miaka Mitatu Au minne Ni michache sana,
Siasa za Daruso zisiwatoe kwenye Msingi wa kilichowapeleka