Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,778
- 218,404
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Siasa kila eneoTaarifa zilizopo kwa watumishi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na wanafunzi wa chuo hicho ni kuwa limetolewa "agizo kutoka juu" kuwa matokeo ya uchaguzi wa rais wa serikali ya wanafunzi yafutwe kwasababu mgombea aliyeshinda "ni mtu hatari"
Katika kutekeleza jambo hilo, tayari zoezi la kumuapisha Nhonya Haroun Stanley limesitishwa, kwa maelekezo ya Dean of students.
Taarifa kutoka kwa mmoja wa watumishi wa chuo hicho zinadai kuwa, uchaguzi huo umeagizwa ufutwe na viongozi waandamizi wa chama tawala Mara baada ya wagombea Frank Isack na Matulanya Evarist waliokuwa wakiungwa mkono na Haroun Stanley aliyetajwa kuungwa mkono na wanafunzi wapenda mabadiliko.
Mmoja kati ya wagombea hao wawili wanaodaiwa kuwa walikuwa wakiungwa mkono na CCM amedaiwa kusambaza taarifa kwa marafiki zake kuwa waliagizwa na viongozi wa chama chao kuwa waandike "barua ya kukata rufaa na kuielekeza kwa DVC administration kupinga matokeo ya uchaguzi, ili uongozi wa chuo utoe kisingizio kuwa umepokea malalamiko na kufuta uchaguzi."
Tayari pia mchakato wa uchaguzi wa Spika na naibu Spika umesitishwa na uongozi wa UDSM.
Ccm ni kama wachawi. Yana lazima hata kama hayatakiwiVijana wajikite kwenye Masomo
Miaka Mitatu Au minne Ni michache sana,
Siasa za Daruso zisiwatoe kwenye Msingi wa kilichowapeleka
Siyo jambo la aibu tu Bali pia ni jambo la "kujitia kitanzi" kwa kuwa unawaongoza watu ambao hawajakuchagua!Kulazimisha kuongoza huku hamtakiwi ni jambo la aibu sana
Mbona inaonekana kwako 'kulima' na 'vijijini' ni fedheha fulani hivi, mpaka unasema wameletwa mjini na HELSB. Kwani hizo pesa za HELSB zimetoka wapi, si kwa hao wakulima vijijini.Waende wakawasaidie wazazi wao kulima vijijini huko..watu wenyewe wameletwa mjini na heslb
Sisi tuliosoma enzi za Odong tungekuwa tumeshalianzisha, watoto wa siku hizi wamezoea kusukumwa tu.hapo UDSM SIKU izi pamejaa ujinga ujinga tu. kwani rev .squre mlishaua? nendeni mkutane hapo mliamzishe. enzi zile mzee luhanga methiew alikuwa anakimbia nyimbo tu
do you know the meaning of politics?Kwa waliosoma UDSM na vyuo vingine students politics hazisaidii kitu chochote kwenye future ya mtu.Ni bora wakajitahidi kusoma kwa bidiii na wamalize masomo yao salama. Finally, DARUSO or whatever, ipo pale kuwanufaisha students leaders kwa kiasi kikubwa
Kwa sababu hawana dola watatumiaje? Polisi ipo chini ya CCMkwa hiyo Chadema Hawatumiagi Nguvu, wanapendwa tu
Punguza matumizi ya ugoro unawehuka!kwa hiyo Chadema Hawatumiagi Nguvu, wanapendwa tu
Watu wasio na elimu wala hawajifichi! Lazima utakuwa unaishi kwa kutegemea maungo ya siri sio bure.Waende wakawasaidie wazazi wao kulima vijijini huko..watu wenyewe wameletwa mjini na heslb
Uko tayari?.Yajayo Yanachekesha
huyo ndo alikuwa anakubalika mpk na Vice pres.Anastazia na wana udsm kwa ujumla ndo maana dogo kashibda kwa kishindo.Taarifa zilizopo kwa watumishi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na wanafunzi wa chuo hicho ni kuwa limetolewa "agizo kutoka juu" kuwa matokeo ya uchaguzi wa rais wa serikali ya wanafunzi yafutwe kwasababu mgombea aliyeshinda "ni mtu hatari"
Katika kutekeleza jambo hilo, tayari zoezi la kumuapisha Nhonya Haroun Stanley limesitishwa, kwa maelekezo ya Dean of students.
Taarifa kutoka kwa mmoja wa watumishi wa chuo hicho zinadai kuwa, uchaguzi huo umeagizwa ufutwe na viongozi waandamizi wa chama tawala Mara baada ya wagombea Frank Isack na Matulanya Evarist waliokuwa wakiungwa mkono na Haroun Stanley aliyetajwa kuungwa mkono na wanafunzi wapenda mabadiliko.
Mmoja kati ya wagombea hao wawili wanaodaiwa kuwa walikuwa wakiungwa mkono na CCM amedaiwa kusambaza taarifa kwa marafiki zake kuwa waliagizwa na viongozi wa chama chao kuwa waandike "barua ya kukata rufaa na kuielekeza kwa DVC administration kupinga matokeo ya uchaguzi, ili uongozi wa chuo utoe kisingizio kuwa umepokea malalamiko na kufuta uchaguzi."
Tayari pia mchakato wa uchaguzi wa Spika na naibu Spika umesitishwa na uongozi wa UDSM.
Kama we unavyoishi kwa kutegemea makalio sio !!Watu wasio na elimu wala hawajifichi! Lazima utakuwa unaishi kwa kutegemea maungo ya siri sio bure.
Tatizo utaratibu wa serikali ya chuo ulikuwepo tangu enzi na enzi kwanini sasa uingiliwe na 'system' ?Kwa waliosoma UDSM na vyuo vingine students politics hazisaidii kitu chochote kwenye future ya mtu.Ni bora wakajitahidi kusoma kwa bidiii na wamalize masomo yao salama. Finally, DARUSO or whatever, ipo pale kuwanufaisha students leaders kwa kiasi kikubwa
We wazee wako hawana hata maji salama ya kunywa huko kijijini kwenu,umewasaidia zaidi ya kutetea buku 7 ya kula?Waende wakawasaidie wazazi wao kulima vijijini huko..watu wenyewe wameletwa mjini na heslb
Acha kutudanganya mbona inajulikana wazi matokeo rasmi hayajatolewa , actually nmefuatilia sana jinsi huu mchakato ulivyokuwa, na aliyeukwamisha kwa kiasi kikubwa ni Aliyekuwa makamo wa rais kwa kushirikiana na viongozi wa chaso , mchezo ulivyokuwa; siku ya uchaguzi katika kituo cha block A magufuli hostel ilionekana kuna mapungufu katika kitabu cha kura hivyo ikaamuliwa kikatolewe kopy( kitabu cha kura), kulingana na mtoa taarifa kitabu number moja cha kura kilitolewa copy zaidi ya kumi , wakti huo uchaguzi unaendelea ktk vituo vingine , hii ikapelekea delay ya ufungwaji wa kituo cha block A hadi saa mbili usiku , kituo kilivyofungwa kura zikaamuliwa zikahesabiwe katika ofisi ya warden block E, baada ya wasimamizi kuanza mchakato wa kuhesabu kura block E ndipo fujo zilizoongozwa na Anna ( aliyekuwa makamu wa rais) , zilipoanza na kusababisha vijana ambao walikuwa na maboksi ya kura ( zile copy zilizotolewa asubuh) kuingia na kujichanganya na wasimamiz ( taa zilizimwa na mlango wa ofisi ya warden ulivunjwa, kijana Kumbusho Dawson inasemakana aliongoza hiki kikos kaz), hii ilileta sintofahamu na kufanya mawakala wa wagombea kukataa matokeo, issue nyingine ilitokea coet ambapo kitabu number mbili cha kura hakikuonekana mpaka mchakato wa kura unakamilika jambo lililopelekea mawakala kususia matokeo , hayayote yalipelekea mkurugenzi wa uchaguzi ambae ni mshauri wa wanafunzi akatae kuendelea na uhesabuji wa kura mpaka suluhisho kupatikana, vile vile kwenye vituo vya kura vya mabibo hostel kura zilizoandikwa kwenye vituo zilkuwa tofauti na kura zilizopelekwa kwenye majumuisho , hii ilimchukiza bwana kambarage kinemo ambae licha ya kuwa Mwenyekit wa Tume ni kiongozi wa chadema kutoka nje na kutangaza matokeo aliuokuwa nayo kwenye kalatasi pas na kushirikisha wenziek kama kanuni za uchaguz wa daruso zinavyooshesha, Na hivi ndivyo mchakato wa urais ulivyohalibiwa na mpaka sasa hakuna matokeo yaliyotolewa, pichani ni bwana Kambarage kinemoTaarifa zilizopo kwa watumishi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na wanafunzi wa chuo hicho ni kuwa limetolewa "agizo kutoka juu" kuwa matokeo ya uchaguzi wa rais wa serikali ya wanafunzi yafutwe kwasababu mgombea aliyeshinda "ni mtu hatari"
Katika kutekeleza jambo hilo, tayari zoezi la kumuapisha Nhonya Haroun Stanley limesitishwa, kwa maelekezo ya Dean of students.
Taarifa kutoka kwa mmoja wa watumishi wa chuo hicho zinadai kuwa, uchaguzi huo umeagizwa ufutwe na viongozi waandamizi wa chama tawala Mara baada ya wagombea Frank Isack na Matulanya Evarist waliokuwa wakiungwa mkono na Haroun Stanley aliyetajwa kuungwa mkono na wanafunzi wapenda mabadiliko.
Mmoja kati ya wagombea hao wawili wanaodaiwa kuwa walikuwa wakiungwa mkono na CCM amedaiwa kusambaza taarifa kwa marafiki zake kuwa waliagizwa na viongozi wa chama chao kuwa waandike "barua ya kukata rufaa na kuielekeza kwa DVC administration kupinga matokeo ya uchaguzi, ili uongozi wa chuo utoe kisingizio kuwa umepokea malalamiko na kufuta uchaguzi."
Tayari pia mchakato wa uchaguzi wa Spika na naibu Spika umesitishwa na uongozi wa UDSM.