Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
Elewa neno wasomi nimelitumia kwa jumla jumla ila inaonekana unataka ligi...hivyo vitu vinafaida kwa wana UDSM watu kama wewe, tena wakimbizi havina umuhimu, cha msingi unachotakiwa kuelewa ni kwanini inasemekana executive au kuna maelekezo kutoka juu yanayotaka kibatilisha ushindi uliopatikana kwa mteule wa Daruso maswala ya IQ au chochote kile no irrelevant kwenye hoja yako uliotumiaKwahiyo ' Logically ' tu wasio Wasomi kama Mimi au wale ambao hawakupita hapo UDSM huu ' Upuuzi ' wao wanafaidika vipi nao? Nasubiri jibu lako katika hili ili niweze kujua ' Usomi ' wako na ikibidi hata kuijua pia aina ya ' IQ ' ambayo unaimiliki katika ' Kichwa ' chako hicho.