Kama hiki ndicho uongozi wa shule unabet on basi nchi imekwisha hiyo. Yaani wanaombea hali iwe ngumu kiasi hiki ili wanafunzi washindwe kudai haki yao?
Ni taifa gani hili wanajenga?
Pamoja na maneno yako kuwa mgomo hauna wafuasi, je kuna sababu ya kupiga wanafunzi kwa mabomu ambao hawagomi?
Mtu Analalamika Bila Kutaja Contact Zake Mimi Niko Udsm Sasa Napenda Kuonana Na Huyo Mtu Anayehitaji Msaada
Udsm Wanaohitaji Msaada Wawasiliane Na Mimi Niko Hewani Hapa Udsm 0784 360204 , 0713620278
Kumbuka Kutaja Jina Lako Halisi Na Ulipo Tutakufuata Tuongee Na Wewe Habari Hizo Zitapelekwa Katika Vyombo Vya Habari Na Waandishi Wa Habari Wengine
Ahsante
mh, kama hamna soilidarity wamekwisha kabisa bora waingie darasani.Kuna msemo mzuri wakati wananchi afrika kusini wanapinga ubaguzi wa rangi usemao "TOGETHER WE STAND DIVIDED WE FALL"
Ninawapa onyo wanafunzi wote wa UDSM kuwa na mawasiliano ya aina yeyote ile na SHY mnajimaliza .Ni traitor na hana msaada .Anadandia kila gari .Leteni hoja hapa JF inatosha.Achaneni kabisa ma SHY maana ni nishai sana mtaangamia .
Hawakuwa na sababu ya kupiga mabomu, hilo lilikuwa na katika kujihami baada ya kusikia vijana kutoka engineering wameamua kuuvalia njuga mgomo. Frankly speaking engineering ni kiboko na chuo kinafahamu fika vijana wa huko (zamani iliitwa FOE).
Hii nchi iko kiubabe ubabe sio leo tuu kama sio kimtandao mtandao. Haki wanayo ya kumchagua kiongozi wao lakini nadhani walikosea kuanza, so wanatakiwa kujipanga upya. Kwa sasa nadiriki kusema wana sababu lakini ni nyepesi ya kuanzisha mgomo, kama wana sababu nzito wailete.
Kama wasipogoma kutetea viongozi wao wanaofukuzwa na chuo, je watagoma kwa sababu ipi tena. Yaani kama Maumau wangeamua kukaa kimya wakati Kenyata na wenzake wamewekwa ndani na wakoloni wa kiingereza, je wangeweka picha gani kwa watetezi wa uhuru barani afrika?
Wagome kupinga uongozi wa chuo kuingilia uchaguzi DARUSO. .....
Kwa sasa nadiriki kusema wana sababu lakini ni nyepesi ya kuanzisha mgomo, kama wana sababu nzito wailete.
Kumbe unakubali kuwa wana sababu ya kupinga uongozi wa chuo kuingilia chaguzi za chuo?
Na wewe nae, utadhani tuko Travertine ijumaa. Hilo nalijua mbona before even year 2000. Halijaanza leo ila linatakiwa kujengewa hoja na sio vurugu. Na wanachogoma sasa hawa wanafunzi mind you ni kutaka wanafunzi wenzao waachiliwe, bado explanation is needed.
Una maana gani ya matumizi ya neno vurugu?
Naona Magari Ya Ffu Yake Pale Hill Park Wapiganaji Wanakunywa Soda Na Maji Kuangalia Hali Ya Usalama Ilivyo Ndani Ya Chuo , Interne Cafe Zone Zimefungwa Na Biashara Kadhaa Zimefungwa , Bwana Anti Nimeshajua Ulipo Jamaa Yako Amenipigia Simu Wewe Njoo Tuonane Savei Baadaye Kidogo Saa 2 Hivi Nikitoka Huku
tafuta kamusi
Inaonekana kutetea kwako ufisadi hakukupi nafasi ya kujua matumizi ya maneno unayotumia. Una kazi kweli hapa kwenye hii thead na propaganda zako!
Anti unajipeleka kwenye modomo wa hatari nenda baadaye uje kushuhudia hapa.SHY si mtu wa kusogolea tafadhali kaeni mbali wanafunzi wa UDSM.Lete madai hapa na tuwasaidie SHY yupo kazini .Akisha waweka sawa anapata credit .Kaeni macho si kila mwana JF anaitakia Tanzania mema wengina mafisadi wako sisi na wao wazi hapa.SHY spare those kids achana tafadhali .
kwi kwi kwiiii, unalo hilo.