Mwanaginingi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 464
- 400
Official Majina ya undergraduates 2015 2017 yametoka udsm kwenye website yao www.udsm.ac.tz Hongeren sanah first year
Tisha Sana Zachaaaaaaaaa!!!!
Official Majina ya undergraduates 2015 2017 yametoka udsm kwenye website yao www.udsm.ac.tz Hongeren sanah first year
Haya muende mkanunue subwoofer, iphone, android, mademu.. muende mliman city mkale bata pesa zikiisha muanze kula RB!!! baada bata mrudi muanze kusoma afu mwisho wa siku wale kichwa mseme maticha wa noko!!
2nd batch udsm watatoa lini naomben jibu
mpaka ukamilishe usajili duce inahitajika shilingi ngapi
unatakiwa ulipe 77400..bila pesa ya hostel hapo
hostel ni pesa ngapi __ vile
DUCE wanatumia hostel tatu, za ndani ya chuo(110,000), za mbagala na mabibo(bei ni moja 95,000)
naizo direct cost inakua kama laki na 80 iv...