grysn
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 266
- 35
ulifanya reapllcn___!!?niliomba vyuo vyote vitatu udsm pamoja na matawi yake. S1095/0037/2008
ulifanya reapllcn___!!?niliomba vyuo vyote vitatu udsm pamoja na matawi yake. S1095/0037/2008
hapana
sijajua sasa na kama uliomba ud,.... na branch zake, ndo zime toka lkn... batch zipo zinazofuta basi subir..
samahan bro nliomba duce na mkwawa msaada plz S0544/0543/2015
Hivi Udsm Wakishatoa Ina Maana Vyuo Vishiriki vya Udsm Kama Muce Na Duce Na Vyenyewe Vitakuwa Humo humo au Kila Chuo hapo Kina Utaratibu Wake? Msaada Please
wandugu msaada hii namba S0338/0834/2015...alichagua UDSM na DUCE
selection za vyuo vingne znatoka lini kwa anae jua
Itakua ameguess tu ,maana exactly deadline ya 2nd round applcation ni tar30 sept ,kwahyo day yoyote after deadline watatoa post.hizo taarifa za tarehe tano umezipata wapi.
aupo mkuu___
aupo__ mkuu_skiziaa__ kungne uliko omba
uyo mdau ayupo pia___Axante mkuu plz ukpata time naomba unsaidie piar h namba S0544/0505/2015 udsm,muce na duce samahan kwa usumbufu mkuu wang