Habari ya mda huu!
Kutokana na maswali yenu mliyo yauliza kuwa haya majina nimeyapata wapi iko hiv! Me nimetumiwa kwa email na email iliyonitumia sihifahamu! Ikiwa na hiyo heading niliyo weka kwenye uzi huu! Binafsi nimeangalia kwenye website ya chuo cjaona habari yoyote kuhusu haya majina!
Nimemuuliza email yangu ametoa wapi na haya majina ameyatoa wapi haja reply till now Nimeamini kama niyenyewe baada kumuona one of my friend amechaguliwa kozi aliyo omba udsm ndio maana nikaamua ku share na nyinyi watu wangu wa nguvu!
Nawasilisha!
asante kwa msaada wako bro.naomba msaada wako plz kuniangalizia hii namba s2893/0048/2012(form four index no)s0544/0543(form six index no)
samahanin sana wadau kuna dogo langu aliomba vyuo vya afya ngazi ya certificate necta vp post zao zitatoka lin?
Andikeni index no vizuri hy haina mwaka????
Ebu ingia Google na andika hivi " majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga usdm 2015/2016" then utayapata
Msaada Plz S0544/0543/2015
And me also naomb nangalixie S1205/0112/2012
Niangalizie S2242/0044
Samahani kwa usumbufu mkuu, Naomba unisaidie kuangalia hii S 0417/0555Habari ya mda huu!
Kutokana na maswali yenu mliyo yauliza kuwa haya majina nimeyapata wapi iko hiv! Me nimetumiwa kwa email na email iliyonitumia sihifahamu! Ikiwa na hiyo heading niliyo weka kwenye uzi huu! Binafsi nimeangalia kwenye website ya chuo cjaona habari yoyote kuhusu haya majina!
Nimemuuliza email yangu ametoa wapi na haya majina ameyatoa wapi haja reply till now Nimeamini kama niyenyewe baada kumuona one of my friend amechaguliwa kozi aliyo omba udsm ndio maana nikaamua ku share na nyinyi watu wangu wa nguvu!
Nawasilisha!