UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

hili file yawezekana kabisa ni lakutoka tcu kwenda chuo ili chuo kifanye selection.. Labda niwaeleweshe taratibu zinavyokua.. Baada ya wanafunzi kuomba vyuo tcu huchukue yale maombi na kuyapeleka kwa vyuo husika, vyuo huchagua majina inauoyataka na kisha kuyarudisha yale waliyoyachagua na waliyoyakataa.. Kisha tcu humalizia mchakato na kuyatangaza.. Kwahiyo unaweza kuona jina lako hapo lakini mwisho wa siku usiwepo

huu ndio ukweli wa mambo
 
Vipi kuhusu majina Kutoka katika chuo cha (MUST) mbeya university of science and technology?
 
Back
Top Bottom