UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

Habari ya mda huu! Kutokana na maswali yenu mliyo yauliza kuwa haya majina nimeyapata wapi iko hiv! Me nimetumiwa kwa email na email iliyonitumia sihifahamu! Ikiwa na hiyo heading niliyo weka kwenye uzi huu! Binafsi nimeangalia kwenye website ya chuo cjaona habari yoyote kuhusu haya majina! Nimemuuliza email yangu ametoa wapi na haya majina ameyatoa wapi haja reply till now Nimeamini kama niyenyewe baada kumuona one of my friend amechaguliwa kozi aliyo omba udsm ndio maana nikaamua ku share na nyinyi watu wangu wa nguvu! Nawasilisha!

Msaada S1174/0511/2015 Juma A Matata points 11 Baed na mass communication
 
[h=2]You reached this page because you have been provisionally selected into one of the Programme Choices you made BUT results are not yet official pending approval of respective Institution on your suitability.The Central Admission System is now open for 2nd Round Selection for those who missed placement in any programme and those who missed the initial application deadline. Official selection results will be announced as soon as they are ready. Thank you.[/h]
 
Habari ya mda huu! Kutokana na maswali yenu mliyo yauliza kuwa haya majina nimeyapata wapi iko hiv! Me nimetumiwa kwa email na email iliyonitumia sihifahamu! Ikiwa na hiyo heading niliyo weka kwenye uzi huu! Binafsi nimeangalia kwenye website ya chuo cjaona habari yoyote kuhusu haya majina! Nimemuuliza email yangu ametoa wapi na haya majina ameyatoa wapi haja reply till now Nimeamini kama niyenyewe baada kumuona one of my friend amechaguliwa kozi aliyo omba udsm ndio maana nikaamua ku share na nyinyi watu wangu wa nguvu! Nawasilisha!

PLZ msaada s0142/0687/2015 KHALFAN SALIM
 
Hili file yawezekana kabisa ni lakutoka tcu kwenda chuo ili chuo kifanye selection.. Labda niwaeleweshe taratibu zinavyokua.. Baada ya wanafunzi kuomba vyuo tcu huchukue yale maombi na kuyapeleka kwa vyuo husika, vyuo huchagua majina inauoyataka na kisha kuyarudisha yale waliyoyachagua na waliyoyakataa.. Kisha tcu humalizia mchakato na kuyatangaza.. Kwahiyo unaweza kuona jina lako hapo lakini mwisho wa siku usiwepo
 
Habari ya mda huu! Kutokana na maswali yenu mliyo yauliza kuwa haya majina nimeyapata wapi iko hiv! Me nimetumiwa kwa email na email iliyonitumia sihifahamu! Ikiwa na hiyo heading niliyo weka kwenye uzi huu! Binafsi nimeangalia kwenye website ya chuo cjaona habari yoyote kuhusu haya majina! Nimemuuliza email yangu ametoa wapi na haya majina ameyatoa wapi haja reply till now Nimeamini kama niyenyewe baada kumuona one of my friend amechaguliwa kozi aliyo omba udsm ndio maana nikaamua ku share na nyinyi watu wangu wa nguvu! Nawasilisha!

niangalizie PAUL NSENA
 
Dah jaman naombeni link na mimi niangalie hayo majina.. kwa link ya hapo juu inagomaa. Au yapo kwa mfumo wa file gani..
 
Back
Top Bottom