cumuro International
Member
- Aug 28, 2015
- 17
- 0
Ha ha ha
Hongereni vijana mkasome kwa bidii na mhakikishe mnaeliika
Not found
Hello!
Nauliza kwenye hili swala , ikuwa vipi majina ya walichaguliwa siku mbili tunaambiwa yako hapa jamiiforum. lakin kwenye official website ya chuoo hakuna habari kama hii?. let be professional. i think kati ya Hapa au Udsm kuna tatizo and not good for the brand.
asante.
Jamani nauliza ivi udsm mwaka mwanzo upo uwezekano wa wanafunzi wote kukaa hostel au inakuaje taratibu zao
msaada wakuu mana hapo nuru ya taifa nilichagua kozi 2 ambazo ni telecommunication na civil engineering jina langu ni godfrey c maganga s0581/0539/2015.
mr akilikubwa naomba nichekie s0870/0612/2015