UDSM: Rais Kikwete atunukiwa PhD ya heshima katika sheria

Kwa mbele pale yupo Utoh na Luhanjo, wamekataza kabisa watu wasiingie na camera, kuna ulinzi mkali usio wa lazima! Nitaendelea kuwajuza muda utakapofika lakini mpaka sasa hatujaanza bado wako kwenye seherehe za miaka hamsini huko Nkrumah Hall pale Campus!

amesema ameshindwa kuandaa hotuba ya kiingereza ameaanda ya kiswahili ya kingereza amemwachia museveni aandae
anazuga ameshangaa kupewa wakati hajasomea tena anashangaa maana ni ya sheria
 
Anasema mtu hawi nabii kwao, nadhani alitaka kusema nabii hakubaliki kwao!
 
Kagoma kutoa hotuba kuthibitisha kuwa ana deserve hio tuzo na anasema sababu ni kwamba ametokea Nkrumah ambako ametoa hotuba nzito, na sababu ya pili ni kwamba kwasababu wako wawili yeye na Museveni basi anamuachia Museveni maana nje kuna watu wengi wanatusubiri kutupamba na kutuuzia maua! anamwachia museveni na anasema anatupongeza kwasababu tumezipata hizi kwa kusona na kuhenyeka tofauti na yeye na anatutakia kila la heri na amemaliza! Hakuietegemea
 
Naona museveni hajmsahau mkewe, naye yupo! Mwisho kabisa kulia kwa ukumbi.

Mama yuko vizuri sana, naona Museveni nae karudi kwenye kiswahili na kiingereza kwa wakati mmoja!
 
Kaja na viongozi wake wa juu na baadhi ya mawaziri pia
 
Naona anatoa speech ya ki-literature tu, huyu kastahili kidogo maana anachoeleza na aina ya PhD aliyopewa vinaendana.
 
Museveni Speech yake ndeefu yenye historia tupu!
Inaboa, anaongelea tu unyankole na upanafricanism.
 
kweli nabii hakubaliki nyumbani.

Kwahiyo asipopewa hila gamba hayo matatizo yatakwisha?.

uhitaji nguvu nying kumtambua m2 aliye na akir fupi... Kumbe unajua kuna matatzo ambayo amesababisha... Bas astahili kupewa kama yapo haya matatizo... au 2nampa kwa kutambua mchango wake wa ku2fikisha katika hali hii...
 
Mmmh mbona anachoongea kinaelekea kutoka nje ya mada!!! au ndio hio lampeni yake ya kuutaka uraisi wa East Africa??
 
Back
Top Bottom