UDSM ni chuo dhaifu sana Afrika "Aibu kwa nchi"

Nimesoma kwa kina comment ya kila mmoja wetu nikabaini kuwa ipo haja yakupata uelewa wa namna gani hizo ranks za vyuo zinavyopatikana. Nasihi vijana pale tunapoona kuna shida kama hizi ambazo zinahitaji ufafanuzi wa kibobezi wa kitaaluma ni vyema kuuliza na si kutupa lawama. Sambamba na hilo, exposure na vyuo vingine vikiwemo vya ndani na hata nje inahitajika pia ili kujua hiki na kile ili kuwa na chakusema. Nasema haya kwa ujasiri mkubwa na uelewa mpana sana kuwa UDSM bado ni chuo kizuri barani Afrika. Ikimbukwe katika vyuo vikuu kazi za wahadhiri ni tatu tu: Kufundisha, Kutafiti na Kushauri. Je, ni ipi kati ya hizo ndiyo hutumika katika kutoa hizo rank? Pia kuna issues zingine ziko nyuma ya pazia juu ya rank hii (*+). Hivyo, binafsi kwa ujasiri mkubwa naendelea kuomba vijana tuwe na namna ya kuomba kujua hususani mada zinazohitaji ubobezi na si kutupa lawama.
 
Udsm zamani kidogo miaka ya 2009 ndo kilikuwa tano bora kwenye ranking ya vyuo vikuu vya kusini kwa jangwa la sahara, hapo nakumbuka ilifuata SUA 22, ikafuata Mzumbe 39 na IFM 74,

Lakin tokea 2013 nimekuwa nafuatilia index hizo udsm inacheza 27+ hivi vingine kwenye 200+
Chuo imekuwa ikimegwa megwa sana...ardhi university, muhimbili university, nk yote yalikuwa chini ya udsm sasa tamaa za uprincipal zimemega chuo sasa hata coet wanataka wawe university
 
Chuo imekuwa ikimegwa megwa sana...ardhi university, muhimbili university, nk yote yalikuwa chini ya udsm sasa tamaa za uprincipal zimemega chuo sasa hata coet wanataka wawe university
Kiongozi nakuomba usipotoshe jamii. Usiipotoshe jamii kwa habari kama hii. Ni vizuri ukauliza ili kupewa uelewa.
 
Kama Mchina kila siku yuko sokoni na products mpya, Mhindi yuko sokoni na products mpya kila kukicha na sisi bado ni watuamiaji wa kuanzia hizo electronics products, Electical products, Mechanical Products, biomedical products, pharmaceutical etc. TUNAWEZA KUTOKA MBELE NA KUSEMA TUNA WAHITIMU VYUO VIKUU?

Tuna Chuma tumeshindwa kuchimba, Tuna Makaa tumeshindwa kuchimba, Barabara zinajengwa na wageni, Tuna dhahabu tumeshindwa kuchimba mpaka tunaingia kwenye migogoro na akinaACACIA, tuna Gas tumeshindwa kuchimba, Viwanda vyote mali ya wahindi,wachina nk wasomi wetu ni waajiriwa wanalipwa 300k tsh.. TUNAWEZA KUTOKA MBELE NA KUSEMA TUNA WASOMI VYUO KIKUU??

Toka uhuru mpaka leo 2019 hatuna sera madhubuti zinazoendesha nchi zaidi ya kudakia dakia mara lile mara hili, mpaka leo bado bunge ni kama kijiwe cha kahawa, mpaka leo bado hatuna sera madhubuti inayosimamia elimu kuanzia msingi mpaka chuo kikuu dah mambo ni mengi sana kifupi SIJAONA HAJA YAKUSEMA TUNA WASOMI ZAIDI YA KIKUNDI KIDOGO CHA WATU KILICHOKAA DARASANI..
 
Hoja yako ingekuwa na mashiko kama zamani kilikuwa nafasi za juu, kikashuka, au kwa vile UDSM, kilikuwa chuo kikuu cha kwanza Tanzania, sasa kimepitwa na vyuo vingine vikuu vilivyoanzishwa. Ukisema UDSM imeshika nafasi ya 36, unapaswa kusema kati ya ngapi, mfano hata kwenye football ranking ya Tanzania ni nafasi ya 36, lakini bado tunajivunia, na tumechanga zaidi ya milioni 300 jana kuwamotisha vijana wetu.

Kwenye GDP, Tanzania ni nchi tajiri kwenye top ten barani Africa, tukuchukua the top ten richest, Tanzania ndio ya mwisho.

Hivyo usikisimange chuo chetu, UDSM is still the best in TZ despite all the odds.
P
PASCHAL MAYALA UDSM ISHWAHI KUWA YA 25 KATI YA 100 AFRICA.

KUWA YA 36 NI GREAT DOWNFALL !

KIASI FULANI UDSM NI TITLE YA UKONGWE ILA MZUMBE SASA IKO NJEMA SANA MINTARAFU FACULTY ya LAW.

WILSON MAYALA YOUR BROTHER IS STILL ALIVE?? NIPO NANDAGALA AMBAPO MLIISHI MZEE ALIFANYA KAZI ENZI ZA MWALIMU.
 
Binafsi napata shida na uwezo mdogo wa ku reason kwa asilimia kubwa ya wasomi wa hapo.

Wapo wengine product za UDSM wana uwezo mkubwa sana ambao wanakupeleka shule kila ukiwasikia like other world graduates ambao wametoka vyuo venye reputation. Ukiwasikiliza sampuli hii wanakubadili mtazamo kwamba ni chuo kilichobobea na kuna wengine majority mmh hapana.

Hivi mtu amesoma uchumi Tanzania, ana masters nje ya nchi na miaka zaidi ya kumi amekuwa akishiriki debate za uchumi bado hajui Government Expenditure kwenye hesabu za GDP ni sum of investment alone and not the entire government budget. Mifano ni mingi hila kuna walakini jinsi elimu inavyokuwa delivered kwa wanafunzi maana module sio tatizo from secondary schools but the assessment process might be a problem.
 
Kiongozi nakuomba usipotoshe jamii. Usiipotoshe jamii kwa habari kama hii. Ni vizuri ukauliza ili kupewa uelewa.
Jinsi unavyomega university ndivyo unavyofanya kuwa km primary school...
• Harvard Business School
• Harvard College
• Harvard Division of Continuing Education
• Harvard School of Dental Medicine
• Harvard Divinity School
• Harvard Faculty of Arts and Sciences
• Harvard Graduate School of Design
• Harvard Graduate School of Education
• Harvard Graduate School of Arts & Sciences
• Harvard JohFn A. Paulson School of Engineering and Applied Sciences
• Harvard Kennedy School

Harvard Law School
• Harvard Medical School
• Radcliffe Institute for Advanced Study
• Harvard T.H. Chan School of Public Health
Kiongozi nakuomba usipotoshe jamii. Usiipotoshe jamii kwa habari kama hii. Ni vizuri ukauliza ili kupewa uelewa.
Niambie kuna sababu gani uclas kuwa ardhi university
 
Mkuu kilikua nafasi ya tano miaka mitano iliyopita, kikiongozwa na south vyuo vitatu na Egypt kimoja
Hoja yako ingekuwa na mashiko kama zamani kilikuwa nafasi za juu, kikashuka, au kwa vile UDSM, kilikuwa chuo kikuu cha kwanza Tanzania, sasa kimepitwa na vyuo vingine vikuu vilivyoanzishwa. Ukisema UDSM imeshika nafasi ya 36, unapaswa kusema kati ya ngapi, mfano hata kwenye football ranking ya Tanzania ni nafasi ya 36, lakini bado tunajivunia, na tumechanga zaidi ya milioni 300 jana kuwamotisha vijana wetu.

Kwenye GDP, Tanzania ni nchi tajiri kwenye top ten barani Africa, tukuchukua the top ten richest, Tanzania ndio ya mwisho.

Hivyo usikisimange chuo chetu, UDSM is still the best in TZ despite all the odds.
P
 
Sijasoma udsm ila hueleweki,hujaweka facts za kutushawishi,unaonekana una wivu mkali sana juu ya chuo hiki,hebu tulia uandike tena kwa utulivu ndugu
 
Nimesoma kwa kina comment ya kila mmoja wetu nikabaini kuwa ipo haja yakupata uelewa wa namna gani hizo ranks za vyuo zinavyopatikana. Nasihi vijana pale tunapoona kuna shida kama hizi ambazo zinahitaji ufafanuzi wa kibobezi wa kitaaluma ni vyema kuuliza na si kutupa lawama. Sambamba na hilo, exposure na vyuo vingine vikiwemo vya ndani na hata nje inahitajika pia ili kujua hiki na kile ili kuwa na chakusema. Nasema haya kwa ujasiri mkubwa na uelewa mpana sana kuwa UDSM bado ni chuo kizuri barani Afrika. Ikimbukwe katika vyuo vikuu kazi za wahadhiri ni tatu tu: Kufundisha, Kutafiti na Kushauri. Je, ni ipi kati ya hizo ndiyo hutumika katika kutoa hizo rank? Pia kuna issues zingine ziko nyuma ya pazia juu ya rank hii (*+). Hivyo, binafsi kwa ujasiri mkubwa naendelea kuomba vijana tuwe na namna ya kuomba kujua hususani mada zinazohitaji ubobezi na si kutupa lawama.
Weka namba mkuu..kesho unapata UDC
 
Jinsi unavyomega university ndivyo unavyofanya kuwa km primary school...
• Harvard Business School
• Harvard College
• Harvard Division of Continuing Education
• Harvard School of Dental Medicine
• Harvard Divinity School
• Harvard Faculty of Arts and Sciences
• Harvard Graduate School of Design
• Harvard Graduate School of Education
• Harvard Graduate School of Arts & Sciences
• Harvard JohFn A. Paulson School of Engineering and Applied Sciences
• Harvard Kennedy School

Harvard Law School
• Harvard Medical School
• Radcliffe Institute for Advanced Study
• Harvard T.H. Chan School of Public Health

Niambie kuna sababu gani uclas kuwa ardhi university
Mkuu hakuna sababu ya msingi zaidi ya kugawana madaraka na vyeo..
 
Nani amefanya hiyo tafiti?

Tafiti ya kibepari imekupagawisha kabisa sio?
Chuo kikuu cha DAR ES SALAAM pamoja na kuwa ni chuo chenye kuchukua wanafunzi waliofaulu zaidi mitihani ya kidato cha Sita na baadhi ya wanafunzi kukilaumu chuo hicho kuwa na urasmu na upendeleo wa wazi kwa baadhi ya wanafunzi bado ni chuo kilicho nyuma sana miongoni mwa vyoo vikuu barani Africa.Baadhi ya viongozi wa kitaifa kupitia chuo hiki kuna haja ya kufanyà kila linawezekana kubadilisha hali hii na kujua chanzo cha kukifanya chuo hiki kubakia kuwa chuo dhaifu kwa utoaji wa elimu miongoni mwa vyoo barani Afrika.Kama wadau mnafikiri nini chanzo cha chuo chetu kubakia kuwa nyuma barani AFRICA na Africa mashariki na kati? Ingia mtandaoni utaona tuko nafasi ya ngapi.Tuko nafasi ya 36 kwa mwaka 2018-2019
 
Back
Top Bottom