mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,255
- 4,599
ko hao wa UDOM Unawapeleka wapi?Baadhi pia ya wanafunzi wa hapo recently wamekuwa wakijilinganisha na vyuo vya ndani kama UDOM mara SAUT,badala wajilinganishe na vyuo vya nje kama Makerere,Nairobi University,Kwazulu Natal na vingine..hii inaonyesha ni jinsi gani kimeporomoka
Sikiliza saizi Tanzania kila kitu ni siasa.Kwa hiyo kila mahali ni Siasa.DARUSO hugusi kama sio UvFisiem.sasa tegemea anguko kubwa zaidi maana kila kitu siasa mpira siasa,uchumi siasa,utalaam siasa tegemea anguko la kila sekta.