UDSM cha 32 kwa ubora Afrika na cha 2021 duniani

Trump2

JF-Expert Member
May 28, 2017
1,553
2,608
Screenshot_20180207-053822.png


===========

UDSM.JPG

Fuatilia zaidi hapa: =>Africa | Ranking Web of Universities
 
Kwa kweli UDSM hakuna cha kujisifia, kimebaki jina tu... In terms of learning environment, quality research output etc bado sana. Hata kwa East Africa ukilinganisha na vyuo vya the same size eg University of Nairobi, Makerere University etc, still hakiwezi kika-compete nao.

Nakumbuka a few years back kilishindwa na MUHAS, interms of science research output. MUHAS ndo kikawa kinaongoza kwa Tz. Yaani chuo ambacho wamekizaa wao wenyewe kimewashinda. Kwa hiyo wajipange...
 
Hata ukiangalia quality na character ya wale wanaoitwa maprofesa wanaotoka hapo ni kielelezo tosha cha status ya hicho chuo.

Kwa kuwa sisi tuliishaamua ku-politicize kila kitu basi hiyo taarifa wala sio ya kushangaza ni stahiki yetu.

Tutaendelea hivyo hadi pale tutakapojitambua na kuwa na viongozi wenye vision na focus wasiopenda kicks.
 
Wengine wanazidi kuchekelea kwa kuona vyuo walisoma nje ya nchi.. vipo ndani ya mmh niseme vyuo 100 bora duniani.
 
Sijui kumetokea nini! Hiki chuo kilikuwa miongoni mwa vyuo bora kabisa Afrika. Kama kumbukumbu zangu ni sahihi, kuna wakati kiliwahi kuwa cha tatu Afrika nyuma ya University of Capetown na kile cha Misri.

Sisi kila kitu tunakwenda kwa kurudi nyuma.

Kuna wakati tulikuwa juu katika demokrasia, viwanda, uwekezaji, n.k. Sasa ni hohe hahe. Kila kitu tunarudi nyuma.

Failure of the institution is failure of the management. Failure of a nation is failure of leadership.
 
Back
Top Bottom