Elections 2010 Udondozi wa magazeti.......???

zumbemkuu

JF-Expert Member
Sep 11, 2010
10,832
8,623
Kwenu wan JF, leo nimefuatilia dondoo za magazeti kwenye vituo vya tv vya MLIMANI TV, CHANEL 10, lakin sijaona wakigusa magazeti ya MWANAHALISI na RAIA MWEMA, nijuvyeni jamani, wamekatazwa au wameyakosa?
 
Zumbe, mbona hilo ni la kawaida? Umeishawahi kuyaona yakidondolewa TBC? ITV? Lakini hata wafanyeje, mwaka huu tunao tu. Majina yao tunayaorodhesha...Their Days are Numbered.
 
Kwenu wan JF, leo nimefuatilia dondoo za magazeti kwenye vituo vya tv vya MLIMANI TV, CHANEL 10, lakin sijaona wakigusa magazeti ya MWANAHALISI na RAIA MWEMA, nijuvyeni jamani, wamekatazwa au wameyakosa?

Na tusikilize tena kesho, kama wataendelea kutoyasoma, then ujue iko maneno!
 
kama hata MLIMANI TV wameshaingiliwa basi napatwa na wazimu.
SASA NAANZA KUKUBALIANA NA WANAOSEMA BILA KUMWAGA DAMU HAKUNA UKOMBOZI, KUMBE NDO MAANA HATA YESU ALIMWAGA DAMU KUTUKOMBOA!! BE READY..........!!!!
 
Zumbe, mbona hilo ni la kawaida? Umeishawahi kuyaona yakidondolewa TBC? ITV? Lakini hata wafanyeje, mwaka huu tunao tu. Majina yao tunayaorodhesha...Their Days are Numbered.
Mimi nitakua Nikiimba
Chorus:
kanyagaaaa kanyaga (kanyaaga)
kanyaga FISADI kanyaga (kanyaga)
 
Ni kitu cha kawaida ambacho si cha kushangaa, mimi nitashangaa siku pale katika udondozi wa magazeti watachambua pia gazeti la mwanahalisi
 
Back
Top Bottom