Udom hakukariki

Apr 22, 2011
7
3



kweli DUNIANI hakuna haki ndugu zangu"viongozi wetu ni kati ya makundi ya kwanza kwenda motoni,i swear my MAPIPO;tunanyanyaswa sana,wengine wanasimamishwa masomo eti kisa kudahi haki zetu"naomba vijana tuamke sasa'

"haiwezekani wanafunzi 10 kukuzwa bila sababu yoyote"wametumia uchache wetu na kupata nafasi ya kuwafukuza"sasa hatukubali bora tuondoke wote"hawa ndio maprofessor uchwara ambao hawakutaka college ya social kufanya field"jaman UMOJA NDIO NGUVU,pia kuna viongozi wanao support management tena wametuimbia fedha yetu ya UDOSO,tunaomba ushirikiano wa chuo kizima ili tukomeshe hii hali
 
Are you calling people to strike au mpo kwenye mgomo tayari?tuliza munkari halafu ueleze kiufasaha.
 
hawa madogo huwa wanaleta thread zao hapa nusu nusu , hadi mda mwingine mtu unashindwa kuwasaidia , sasa kama hapa sijui tumsaidie nini, nyie jamaa leteni habari zenu hapa zikiwa zimekamilika ,hapa hata kina Msekwa wanakuja ku-browse hapa kwa hiyo unachokiongea hapa ujue watu wote ndani na nje ya Tanzania wanakisoma hadi ikulu, andaavizuri hoja yako kisha imwage hapa na bila shaka utapata msaada, kwani kufukuzwa wote sio solution , solution ni kukaa chini na kuwasaidia kutatua tatizo ili nyinyi muendelee na kitabu
 
hawa madogo huwa wanaleta thread zao hapa nusu nusu , hadi mda mwingine mtu unashindwa kuwasaidia , sasa kama hapa sijui tumsaidie nini, nyie jamaa leteni habari zenu hapa zikiwa zimekamilika ,hapa hata kina Msekwa wanakuja ku-browse hapa kwa hiyo unachokiongea hapa ujue watu wote ndani na nje ya Tanzania wanakisoma hadi ikulu, andaavizuri hoja yako kisha imwage hapa na bila shaka utapata msaada, kwani kufukuzwa wote sio solution , solution ni kukaa chini na kuwasaidia kutatua tatizo ili nyinyi muendelee na kitabu

umeona mkuu wanazo kama tatu alafu zipo nusunusu...

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/129252-list-ya-mafisadi-udom.html
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/129307-wahadhiri-udom-vip.html
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kumi-wamefukuzwa-bila-kosa-5.html#post1890143
 
kweli DUNIANI hakuna haki ndugu zangu"viongozi wetu ni kati ya makundi ya kwanza kwenda motoni,i swear my MAPIPO;tunanyanyaswa sana,wengine wanasimamishwa masomo eti kisa kudahi haki zetu"naomba vijana tuamke sasa'

"haiwezekani wanafunzi 10 kukuzwa bila sababu yoyote"wametumia uchache wetu na kupata nafasi ya kuwafukuza"sasa hatukubali bora tuondoke wote"hawa ndio maprofessor uchwara ambao hawakutaka college ya social kufanya field"jaman UMOJA NDIO NGUVU,pia kuna viongozi wanao support management tena wametuimbia fedha yetu ya UDOSO,tunaomba ushirikiano wa chuo kizima ili tukomeshe hii hali[.Jaman wanafunzi tulikuwa tunadahi haki yetu ya special facult requirements tokea mwaka 2007, iliandikwa proposal ya mahitaji yetu ya kitivo kwenda bodi ya mikopo,kuna waliomaliza
mwaka jana walihangaika mpaka wakakosa,sisi wa mwaka 2008/2009 tulisign special facult ktk form zetu za mikopo na ni haki yetu kupata,tulifuata kanuni zote za hufuatiriaji kuanzia chuo mpaka bodi lakini tulikuwa tunapigwa kalenda tu,alikuja Waziri mkuu akashangaa sn ni kwann hatujapata mahitaji yetu,tuliandika proposal ya pili kuhusu mahitaji yetu ikafikia kama sh laki 3.Waziri akaichukua na akasema atatusaidia,tulimpa kama miezi 3,lakini mwishoni tukaona kimya,tuliomba kikao na management ya chuo tena ,walituahidi wanafuatiria,ikapita miez kimya,baadaye tukatishia mgomo,gafla wakatoa majina ya wanafunzi wataopata hiyo fedha,lakini ni sh.50,000 eti ni kwaajili ya FRASH tu ambayo si halali,tukaandamana mpaka ofisi ya w/kuu dodoma,tulimkuta mkuu wa wilaya akawasiriana na w/kuu,akadhibitisha ombi letu ni la msingi na tuende tarehe 6/5 atupe majibu,tukakubali na kurudi darasani na kuendelea na masomo,Gafla uongozi wa chuo ukawafukuza wanafunzi 10,tuliaandama wote tena hatujavunja aman ya chuo,tuliruhusu magari kupita nasi tuliruhusiwa na OCD kwenda kwa W/kuu,maandamano yalikuwa ya halali,cha ajabu sisi si wa kwanza kuandamana chuoni lakini hiyo azabu walioitoa utadhani ndo tabia yetu,kumbe ndio mara yetu ya kwanza.Naomba wanaharakati,viongozi wa penda amani mtusaidie huku udom kwani tunaonelewa sana,NANi asiye mjua prof. MVUNGI kwa wale aliyewafundisha UDSM?mungu aibariki TANZANIA ili tuishi kwa amani na tupate wasomi wazuri, UDOM ACHENI SIASA ,wanafuzi wamekuja kusoma lakini chuo kinachanganya masomo na siasa,sisi wote ni WATANZANIA.by mwanaharakati
 
Hahaa,this is superfantastic...eehe mnataka laki tatu za nini enyi wakusoma?
 
Hahaa,this is superfantastic...eehe mnataka laki tatu za nini enyi wakusoma?
 
Hahaa,this is superfantastic...eehe mnataka laki tatu za nini enyi wakusoma?
 
Hahaa,this is superfantastic...eehe mnataka laki tatu za nini enyi wakusoma?
 
Back
Top Bottom