UDOM - College of Earth Science

UDOM - College of Earth Science

kuhama usiiweke maanani sana as ni very rare scenario. geoinformatics ni nzuri sana hasa kwamba wataalam wake bado ni wachache na ajira ziko maeneo mengi. karib sana coes , utanikuta pale niko 3rd year mineral processing eng.
Mkuu ina maana kubadili programe hakuna hapo COES??mi nimechaguliwa Env science
 
kwa wale waliochaguliwa udom hasa college of earth science mnaweza kuniuliza jambo lolote!nipo kuwasaidia!
nipo 2nd yr petroleum engineering

mkuu course ya Geoinformatics ni miaka mingapi na ada yake sh ngapi
 
Jamani kuna mdogo wangu kapata hapo msc.in chemistry udom ila bado hajakwenda,vipi kuhusu ajira yake?ni maeneo gani anaweza ajiriwa mi ndo namfund asome hapo msaada plz
 
Jamani kuna mdogo wangu kapata hapo msc.in chemistry udom ila bado hajakwenda,vipi kuhusu ajira yake?ni maeneo gani anaweza ajiriwa mi ndo namfund asome hapo msaada plz
hiyo si ni collage ya natura science, ajira ni viwandan i kote ana fiti
 
Yes mkuu thanx,ila viwandani wa kike inanipa shaka kidogo

Zipo sehemu nyingine mbali na viwanda, mfano mashirika ya viwango (tbs/tfda), mambo yavyakula. Vitu ka izo kwa ninavyoelewa
 
koz gan mnaohamishwa mkuu

Mbona nimesema hapo mkuu, raia wote tunaosoma coes tumehamishwa hostel kutoka hostel za info tuna elekea block. J for male na M for female kuanzia 2015/16
 
Zipo sehemu nyingine mbali na viwanda, mfano mashirika ya viwango (tbs/tfda), mambo yavyakula. Vitu ka izo kwa ninavyoelewa

Thanx alooooot mkuu be blessed ,ukipata mwenza Mungu akujalie watoto kumi mmoja atakuwa Rais
 
kwa wale waliochaguliwa udom hasa college of earth science mnaweza kuniuliza jambo lolote!nipo kuwasaidia!
nipo 2nd yr petroleum engineering
Brother mimi nimechaguliwa mining engineering hapo udom vipi soko lake kwa sasa? Na vipi hapo chuoni msuli wake?
 
Back
Top Bottom