UDOM - College of Earth Science

UDOM - College of Earth Science

Mkuu naomba kuuliza maswali yafuatao
1.Je kuna optical microscope ngapi?
2.Je kuna microscope za polished sections? na kama zipo ni ngapi?
3.Je collections za miamba kwa ajili ya kufundishia iko ya aina ngapi na kutoka wapi? Tafadhali naomba unipatie na miaka yake
4. Vipi kuhusu ore deposit models zinazundishwa mwaka wangapi na je wanaofundisha wamegundua migodi mingapia au deposits ngapi?

Kwa leo hayo tu ukinijibu nitakuuliza mengine yatokanayo na majibu yako!


we na we kujua hizo type za microscope uctake kutisha wa2,,keshakwambia anachukua petroleum eng,,xo hawez akawa anafuatilia @ ki2 cha geology,,,,vp www,,hujielewi nn?
 
kwa wale waliochaguliwa udom hasa college of earth science mnaweza kuniuliza jambo lolote!nipo kuwasaidia!
nipo 2nd yr petroleum engineering

KAKA NIMEPANGWA HAPO METALLURGY AND MINERAL PROCESSING ENGINEERING. P
1. Naomba unipe mwangaza kidogo kuhusu hii kozi
2. Vp suala la malipo na pia chakula hv inakuaje kabla boom halijafika (i.e huwa linachelewa kwa mda gani na pia chakula kwa mlo ni bei gan ili niweze kujipanga vzuri kwa maisha ya hapo wakati wa kuripoti.
3. Laptop ni lazima?
NINATANGULIZA SHUKRANI
 
hata kama utapata mkopo kwa bodi!unatakiwa uje na pesa ya kujikimu kwa kipindi chote cha registration!pesa ya bodi inachelewa huwa inachukuwa week 2 au 3!pia ka hujapewa mkopo 100% kumbuka kuja na ada angalau ya 1st semester uweze kufanyiwa registration!la sivyo hutasajiliwa!
 
cna uelewa nayo sana ila Ni kozi ambayo iko fresh ni udom na udsm 2 ndo wanaifundisha!imekuwa na uwanja mpana wa ajira hasa baada ya kuongeza metarlugy ambayo inahusika na masuala ya kuprocess metals unaweza fanya kazi kwe viwanda vya bati n metals!mineral processors wanahusika na kuchambua na kutenganisha aina mbalimbali za madini ambayo mining engineer atakuleteya!ni muhim kuja na pesa ya ma2mizi hata kama bodi watakupa mkopo 100%.pesa huwa inachelewa inaweza kuchukua hata wiki 2 au 3 kutegemeana na cku mliosaini!kwa engineering bodi huwa wanatoa sanasana 85% ambayo kwe milion 1 na nusu ya ada we utalipiya laki 2 na 20 kwa mwaka!hivyo unatakiwa kuja na angalau laki 1 na ishirini ya 1st semester.chakula kinaanzia buku wali maharage mpaka 5000 kwa mlo m1 kulingana na mfuko wako.laptop ni lazima kwa engineering course yoyote kuna kozi za computer ambazo utasoma ka vile autocad na c++ hizi lazima uwe na pc ya kufanya practise ukiwa room kwako.pia lecturers huwa wanatoa notes soft copy kwa mwenye flash!so ka huna pc inakuhusu kuprint ambayo ni gharama sana!ila ucwaze coz pesa ya mkopo utakayopewa unaweza kujibana at least 2nd semester ukanunua pc!unaweza ku2miya pc za chuo kwa mda au ukaazima kwa classmate wanzako!
 
hata kama utapata mkopo kwa bodi!unatakiwa uje na pesa ya kujikimu kwa kipindi chote cha registration!pesa ya bodi inachelewa huwa inachukuwa week 2 au 3!pia ka hujapewa mkopo 100% kumbuka kuja na ada angalau ya 1st semester uweze kufanyiwa registration!la sivyo hutasajiliwa!
Process za registration uchukua kama cku ngapi,,na bla kua registerd c uruhucw kuingia chuo,,means kitu cha gest kinahucka
?
 
Huwa wanaandika kwe joining form 1 week but huwa inazidi mpaka hata 3 weeks ila orientation kwa 1st yr ni week ya 1st au 2nd!unaweza kuingiya chuo hata ka hujafanyiwa usaili!chuo huwa kinatoa huduma ya malazi kwa wale ambao hawatafanikiwa kumaliza reg. Kwa ile week ya kwanza!reg. Huwa inafanyika kwe college husika uliopangiwa ila ikizidi 2 weeks ka umechelewa inakubidi wende utawala ukafanyie reg. Huko!
 
ni vizuri ukawahi kufika ufanye reg. Coz unaweza pangiwa room ambazo c nzuri hasa floor ya juu kupanda ngazi inakera!ukiwahi utapangiwa room nzuri ground,first au second floor ambazo hazina tabu!kumbuka kulipiya kila ki2 huko home ka joining itakavyosema coz bank ya chuo huwa inajaa sana wa2 unaweza kaa asbh mpaka jioni na ukashindwa kulipiya!!
 
vp kakaa mm nimechagulia hapo geoinformatcs lakn sikuipenda sana na nemesoma EGM nina 3.15 je nina weza kuhama hi program nilyo chaguliwa na kuhamia program kama petroleum,aplled geology au ming ?msaada kwako naomba kaka

Unaijua Geoinformatics lakini? Bila shaka huijui....kama ungekuwa unaijua usingefikiria hata kuihama....lakini nina mashaka kama kweli Udom wanatoa hiyo degree kama inavyotolea pale ARU...ARU wapo safi sana kwenye hayo mambo ya Survey,,ni PM kama unataka mawazo mbadala.....mimi nimesoma Geoinformatics.....naweza kukusaidia zaidi kama hutabadilisha mawazo yako ya kuihama hiyo kozi...
 
Mbaruck, hivi kuna external financial support yoyote(scholarship) kwa wanachuo wa earth science waliokosa mkopo?? Kuna mdogo wangu kakosa mkopo kwa kozi ya geoinformatics,kisa kamaliza form 6 mwaka 2008!! Nipe details km kuna ki2 kama hicho pls.
kwa wale waliochaguliwa udom hasa college of earth science mnaweza kuniuliza jambo lolote!nipo kuwasaidia!
nipo 2nd yr petroleum engineering
 
Mbaruck, hivi kuna external financial support yoyote(scholarship) kwa wanachuo wa earth science waliokosa mkopo?? Kuna mdogo wangu kakosa mkopo kwa kozi ya geoinformatics,kisa kamaliza form 6 mwaka 2008!! Nipe details km kuna ki2 kama hicho pls.
dah kwa hilo kidogo itakuwa vigumu labda ajaribu kuhangaika kwe makampuni binafsi!ishatokea mwaka wetu c c 2012 chuo kiliwaombeya wanafunzi kumi wizara ya nishati na madini wanaosoma petroleum engineering walipata.wanalipiwa kila kitu!cdhani kwa mwaka huu ka watatoa hio nafasi tena kwa geoinformatics cjui!ila ajarib kuzunguka mashirika mbalimbali
 
vp EGM anatakiwa afauluje Ili aweze kusoma Applied Geology???
 
vp EGM anatakiwa afauluje Ili aweze kusoma Applied Geology???
walikuwa wakichukua wa economics kipindi cha nyuma
kwa sasa chuo hakichukui wanafunzi waliosoma economics kwa kozi ya applied geology
 
Egm unaweza soma geology udom karibu,,,nipo department ya geology!!!
 
vp mtu wa diploma ya computer science and engineering anaweza kupata applied geology?!
 
ktk kozi ambayo college ofearth science imejipanga ni hio coz ina wali wa kutosha hasa wahindi,mazingira ya kusomea yapo fresh coz chuo kina quarry ya kufanya observation ya mawe na madini,pia kuna geological survey of tanzania(GST) ampayo wa'funzi wanaenda kufanya practicals!filed pia haisumbui coz wanakwenda mbeya-chimara ambapo wanaaungana na wanafunzi wa udsm!

Mekuu naweza kujiunga na diploma hapo coz na certficate ya mineral exploration
 
Computer science huwezi kusoma applied geology,,,it is far away from your field,,,
 
Mwaka 2011 nimekutana nao mbeya chimala,vifaa vya kijiolojia hamna vya kutosha,acha kufagilia ujinga

We nawe tumia akili, 2011 mpaka saiv ni miaka mingapi, na zimeongezeka kozi ngapi, saiv walishajipanga vifaa vyote vipo
 
Mbaruk, udsm wanasoma geology miaka 4, udom miaka 3 tofauti ipoje? Am afraid udsm watatushinda kwenye soko la ajira sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom