Anayetaka kujua kuhusu geoinformatics anitafute 0654504549 naitwa Rohosaba nipo bsc in geoinformatics coes udom,,,,
Mwaka wa pili,,,
Huwezi kuwa hunifahamu,,,hahahahaha huku we dont reveal our identities,,,,,,,unamjua Naima,,,Madevu,,,Mishra,,,,Mahuve ,,,Ally,,,is that enough????
Hivi hio geoinformatics inakaz gani hapa tanzania?
Applied geology vs bsc geology, nategemea udsm wangesoma miaka 3 na udom miaka 4, tofauti ni nini mkuu, naomba ufafanuzi, course contents za udsm naona ziko intensive sana kwa hio miaka 4, nimechaguliwa udom but am just curious
kwa wale waliochaguliwa udom hasa college of earth science mnaweza kuniuliza jambo lolote!nipo kuwasaidia!
nipo 2nd yr petroleum engineering
vp kakaa mm nimechagulia hapo geoinformatcs lakn sikuipenda sana na nemesoma EGM nina 3.15 je nina weza kuhama hi program nilyo chaguliwa na kuhamia program kama petroleum,aplled geology au ming ?msaada kwako naomba kaka
Unaijua Geoinformatics lakini? Bila shaka huijui....kama ungekuwa unaijua usingefikiria hata kuihama....lakini nina mashaka kama kweli Udom wanatoa hiyo degree kama inavyotolea pale ARU...ARU wapo safi sana kwenye hayo mambo ya Survey,,ni PM kama unataka mawazo mbadala.....mimi nimesoma Geoinformatics.....naweza kukusaidia zaidi kama hutabadilisha mawazo yako ya kuihama hiyo kozi...
Kwa nn mkuu ukasema udom hujui kama inatolewa inavyotakiwa mana mm pia nmechaguliwa huyo geoinformatics udom.