kwa wale waliochaguliwa udom hasa college of earth science mnaweza kuniuliza jambo lolote!nipo kuwasaidia!
nipo 2nd yr petroleum engineering
ktk kozi ambayo college ofearth science imejipanga ni hio coz ina wali wa kutosha hasa wahindi,mazingira ya kusomea yapo fresh coz chuo kina quarry ya kufanya observation ya mawe na madini,pia kuna geological survey of tanzania(GST) ampayo wa'funzi wanaenda kufanya practicals!filed pia haisumbui coz wanakwenda mbeya-chimara ambapo wanaaungana na wanafunzi wa udsm!
kwa wale waliochaguliwa udom hasa college of earth science mnaweza kuniuliza jambo lolote!nipo kuwasaidia!
nipo 2nd yr petroleum engineering
ktk kozi ambayo college ofearth science imejipanga ni hio coz ina wali wa kutosha hasa wahindi,mazingira ya kusomea yapo fresh coz chuo kina quarry ya kufanya observation ya mawe na madini,pia kuna geological survey of tanzania(GST) ampayo wa'funzi wanaenda kufanya practicals!filed pia haisumbui coz wanakwenda mbeya-chimara ambapo wanaaungana na wanafunzi wa udsm!
Mwaka 2011 nimekutana nao mbeya chimala,vifaa vya kijiolojia hamna vya kutosha,acha kufagilia ujinga
ajira zipo coz ni kozi ambayo haijavamiwa sana mageologist wengi kwa sasa ni wazee vijana wanahitajika sana!unaweza fanya kazi kwe migodi,oil and gas companies,manispaa kwe masuala ya modern technique survey ila inahitaji uwe competent 2 pia na uelewa c o kumeza tu!
room zipo za kumwaga mpaka majengo mengine yamefungwa hayana watu!udom ndo chuo pekee chenye kuaccomodate wanafunzi wote kwe hostel zake!kuna room nyengine anakaa mtu mmoja tu sana wanaochukua master na phd
Shukrani mkuu