Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,027
- 1,791
Wadau,muda huu wanachuo wa college of Education wapo barabarani kuelekea maeneo ya utawala kushinikiza madai ambayo yamesababisha wagome wiki nzima iliyopita pamoja na jana na leo.Hasira imepandishwa zaidi baada ya uma kudanganywa kuwa migogoro yote imeshatatuliwa na waziri mkuu.Pinda amemaliza msuguano uliokuwepo kati ya wahadhiri na menejimenti lakini ameshindwa/amekwepeshwa kuja kuonana na wanafunzi college of Education.Waandishi wa habari makini fikeni utawala wa udom muda huu kufikisha kwa jamii hii hali kama ilivyo.Madai ya wanafunzi kitivo cha elimu udom ni haya:Kurudishiwa fedha iliyozidi ya acomodation;Kupatiwa fedha ya mahitaji maalum ya kitivo;Matatizo ya mikopo(bum);Kupinga mtindo wa kozi ya semista nzima kufundishwa kwa wiki moja au mbili.Hii ni kwa zile kozi ambazo hazina walim hivyo kuazima walimu kutoka vyuo vingine!;Maji;Miundombinu;Kujiuzulu kwa mwizi mnyanyasaji katili jambazi Prof.Mlacha;Mengineyo.