mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Watanzania tunapenda kujikuza sana kielimu!Nafikiri kusini kwa jangwa la sahara ni sisi tu!Hata Wanaigeria wanaosifika kwa scams ,huwezi ukakuta mtu amefoji Phd maana wao elimu yao bado ni nzuri,ndio maana Ulaya na Marekani bado wao wanongoza kitaalamu kwa watu weusi.Kwa nini Slaa ajiite dr???na magazeti na vyombo vya habari vinamtambua hivyo?Hata Dr Edmond Mndolwa?ni accountant mzuri hii Phd ni ya nini.
Sio vibaya kupata udaktari wa heshima(Honorary doctorate)!lakini kwa nini kila siku watu wakuite dr?Dr Salim Ahmed Salim?ya nini miaka yote wakati hana real Phd?????Paul McCartney(ex Beattle) ana udactari wa heshima,kama Alex Ferguson wa Man Ultd.Lakini hakuna hata mtu mmoja anathubutu kumwuita Dr Paul Mccartney au Dr Alex Ferguson.
Mandela ,Tutu wanaheshima sana kuliko hata Nyerere wetu.Wana honorary doctors nyingi sana,lakini media ya south africa sijasikia kila siku ikimuuita Dr Mandela au Dr Tutu.haya ni bongo tu.
Slaa ana juris doctor(though hana undergraduate degree).Fair enough .Kwanini ajihalalishe udocta?Angalia Juris doctor za Obama ,Michele Obama na Bill Clinton.Lakini hakuna hata siku moja wakajiita madoctor kama wachwala wetu bongo.Condo Rice ana Phd,lakini hakujipamba kama Dr Rice.Robert Gate wa Pentagon pia ana real Phd,lakini hata siku moja ajiiti dr Gate.
Tukubali na tunafuuta mfumo wa Uk kielimu .Hata jamaa zetu wa SUA wanaomaliza Vet medicine hakuna sababu ya kujiita DR!!!!UK wanajiita VET kutofautisha na medical doctors.Akifanya Phd ndio anaitwa DR.
Hata uprofesa!!!kwa nini Mwandosya na Sarungi bado wanaitwa maprofesa,ingawa hawako katika any academic institutions?Na Kapuya vilevile.?Mpaka newspaper na vyombo vikisimama kuwaita watu hawa ma dr na maprofesa meaning yake inashuka sana.
Dr Karume,Dr Mzindakaya,Dr Nchimbi,Dr Fumbuka,Dr Chageni etc...Oh my God!
Sio vibaya kupata udaktari wa heshima(Honorary doctorate)!lakini kwa nini kila siku watu wakuite dr?Dr Salim Ahmed Salim?ya nini miaka yote wakati hana real Phd?????Paul McCartney(ex Beattle) ana udactari wa heshima,kama Alex Ferguson wa Man Ultd.Lakini hakuna hata mtu mmoja anathubutu kumwuita Dr Paul Mccartney au Dr Alex Ferguson.
Mandela ,Tutu wanaheshima sana kuliko hata Nyerere wetu.Wana honorary doctors nyingi sana,lakini media ya south africa sijasikia kila siku ikimuuita Dr Mandela au Dr Tutu.haya ni bongo tu.
Slaa ana juris doctor(though hana undergraduate degree).Fair enough .Kwanini ajihalalishe udocta?Angalia Juris doctor za Obama ,Michele Obama na Bill Clinton.Lakini hakuna hata siku moja wakajiita madoctor kama wachwala wetu bongo.Condo Rice ana Phd,lakini hakujipamba kama Dr Rice.Robert Gate wa Pentagon pia ana real Phd,lakini hata siku moja ajiiti dr Gate.
Tukubali na tunafuuta mfumo wa Uk kielimu .Hata jamaa zetu wa SUA wanaomaliza Vet medicine hakuna sababu ya kujiita DR!!!!UK wanajiita VET kutofautisha na medical doctors.Akifanya Phd ndio anaitwa DR.
Hata uprofesa!!!kwa nini Mwandosya na Sarungi bado wanaitwa maprofesa,ingawa hawako katika any academic institutions?Na Kapuya vilevile.?Mpaka newspaper na vyombo vikisimama kuwaita watu hawa ma dr na maprofesa meaning yake inashuka sana.
Dr Karume,Dr Mzindakaya,Dr Nchimbi,Dr Fumbuka,Dr Chageni etc...Oh my God!