Hii ni obvious small minds ziko hivyo wao hawaoni beyond mabega yao, na ndio maana pamoja na yote kuondoka kwa Lowassa kumewafurahisha kwa kuwa mbele yake wasingeweza kufanya huo upumbavu wao.
Tatizo ni unafiki wa wa kina Chiligati hawawezi kukemea kwa kuwa wanajiona hawakustahili hizo position walizonazo, na kwa vile chama kimajaa wanafika hakuna atakae thubutu kuhoji hilo angalia UVCCM wamejaa wakina nani?
Tutake tusitake lazima tutamwaga damu kikwete anatupeleka huko expeditiously na sisi tunamuangalia tu hatutaki kumtoa.
Mimi naomba Mungu usiku na mchana Lowassa arudi maana ndio kupona kwetu jamani wameshashika kasi hawa watu hawarudi nyuma, hawana haya wala aibu, angalia walivyogeuza mashirika yetu, ndio maana yanazidi kufa, huwezi kuongoza nchi hii na dini moja JK utake usitake huwezi kuligeuza hilo.
ACHA KUTUHARIBIA NCHI YETU WEWE UMEPEWA NAFASI USIYOSTAHILI SHUKURU MUNGU PITA TUACHE SALAMA MUOGOPE MUNGU UNAYOYAFANYA YATAMWAGA DAMU ZETU WATOTO WETU WATAGEUKA MAYATIMA TUMZUIENI JAMANI CHONDE CHONDE