jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
Jamani tunakoelekea sasa ni kubaya..
Jamaa angu muislam alikuwa na girlfriend wake mkristo mapenzi yao yalidumu kwa mwaka mmoja na nusu hiv lakin hiv karibuni ndo wakaparaganyika kwa sababu yule msichana alimwambia boy wake kuwa hawezi kuwa na yeye kwakuwa ni muislam wakati muda wote alikuwa anajua kuwa boy wake ni muislam..
Jamaa anadai siku moja wakaticwako pamoja walikuwa wanaangalia tv wakaona lile tukio la Zanzibar la kujeruhiwa kwa padri na kuchomwa moto makanisa basi yule msichana akaanza kuponda kuwa waislam ni wakatili..jamaa akamwambia sio hivyo..hayo yamepandikizwa kidiasa tu..mdada hakuelewa jamaa naye akamuuliza je na yule shekhe aliye mwagiwa tindikali kanwagiwa na wakristu.?hivyo likitokea jambo usigeneralize.
Sasa leo na mimi yamenikuta kuna dada nachat nae kwa takriban miezi miwil sasa ila leo ameniuliza dini yangu nkamwambia kuwa mimi baba angu ni muislam na mama angu ni mkristu akasema mbona jina lako ni la kiislam..akasema yaan yeye hapendi kabisa urafiki na waislam kwa kuwa ni wakorofi..nkamuuliza ukorofi wa waislam umeanza lini akasema mifano ile ile ya zanzibar..nikamuuliza mbona miaka yote haikuwa ikionekana hivyo..?hakujibu..
My Take JK na CCM wanatupeleka kubaya..ndoa za watu ziyavunjika kwa sababu ya udini..tusubiri tuone tuendako..
Jamaa angu muislam alikuwa na girlfriend wake mkristo mapenzi yao yalidumu kwa mwaka mmoja na nusu hiv lakin hiv karibuni ndo wakaparaganyika kwa sababu yule msichana alimwambia boy wake kuwa hawezi kuwa na yeye kwakuwa ni muislam wakati muda wote alikuwa anajua kuwa boy wake ni muislam..
Jamaa anadai siku moja wakaticwako pamoja walikuwa wanaangalia tv wakaona lile tukio la Zanzibar la kujeruhiwa kwa padri na kuchomwa moto makanisa basi yule msichana akaanza kuponda kuwa waislam ni wakatili..jamaa akamwambia sio hivyo..hayo yamepandikizwa kidiasa tu..mdada hakuelewa jamaa naye akamuuliza je na yule shekhe aliye mwagiwa tindikali kanwagiwa na wakristu.?hivyo likitokea jambo usigeneralize.
Sasa leo na mimi yamenikuta kuna dada nachat nae kwa takriban miezi miwil sasa ila leo ameniuliza dini yangu nkamwambia kuwa mimi baba angu ni muislam na mama angu ni mkristu akasema mbona jina lako ni la kiislam..akasema yaan yeye hapendi kabisa urafiki na waislam kwa kuwa ni wakorofi..nkamuuliza ukorofi wa waislam umeanza lini akasema mifano ile ile ya zanzibar..nikamuuliza mbona miaka yote haikuwa ikionekana hivyo..?hakujibu..
My Take JK na CCM wanatupeleka kubaya..ndoa za watu ziyavunjika kwa sababu ya udini..tusubiri tuone tuendako..