jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
- Thread starter
- #21
Serikali haihusiani na Imani zenu
Kwani mkiwatafuta wanakataa? labda linapokaribia suala la kuoana
Wanasema Mwanamke hana DINI km mkipendana Mkuu wa Wilaya au Katibu Tawala wake atawapeni Cheti ambacho ndicho hichohicho kitolewacho na Padri au Sheikh
Mimi ni Mkristo lakini nimeoa Muislam na nyumba zangu ndogo zote ni Waislamu Kennedy na Jambo 1 Serikali haihusiki na kusali kwenu au kuoa nyie ni Wakristu tafuteni Waislamu watawapenda tu na mtaamua km mbadili DINI muwe Waislamu Serikali haitahusika. Bado Waislamu wapo na hata Wapagani hizi tafrani za DINI mbili zisitukwaze kwani kuna Budha nk na hakuna aliyerudi toka waliko wafu wakatuelezea kuwa huko wanasali
CCM unahusika sana kuleta mparaganyiko wa kidini www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=47614
Last edited by a moderator: